naam mi nahitaji kuwa video editor bt sina mwalimu wala program ya kuedit video na audio naombeni muongozo inabidi niwe na program ipi na ipi? nawasilisha
Habari wanajukwaa naitwa ibrahimu Riyad Houmud Ruwehy naishi arusha kama kichwa kinavyojieleza natafuta kazi ya uandishi wa habari, makala.n.k kwenye blog/website nina vifaa vyote vya kufanyia kazi i mean laptop na modem naomba kwa ihsan yenu mwenye uwezo wa kuniiajiri ani PM au aniachie maoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.