Mi nhama nchi hii bwana nina hasira sana na upuuzi unaofanyika kila siku....xxxxxx
Kwanza fikiria huyo mtoto siatatoka kabla hata mjamzito hajafika hosp.? bwana mi nahama nchi bora nikaishi VIETNAM?
Hongera sana kwa mawazo yako ni mazuri na mimi kila siku ndo nilikuwa nawadha hivyo kuwa kwa dalili hizi hata Kichaa wa Mirembe anaweza kuwa RAIS WA TANZANIA YA SASA. Ni ukweli usiopingika kuwa CCM ya sasa na udhalimu wao hawawezi kubadilika......ni aibu kubwa Rais wa nchi anaposema nchi yake ni...
WATANZANIA BANA....SHIDA TUPU!!!! kweli umeongea kitu cha msingi sansa dada yangu!! watu kilakukicha kwa mzee yahya! Utasikia wameleta bajaji kwa wajawazito hivi niulize kitu bajaji ina 4WD? au mpaka wafe ndio mwapelekee maua??????
Ndoto nyingine bwana..upuuuuzi mtupu. hivi kwa akili yako tu unawaza huyu FISADI, EPA MKUBWA atapata hata kura 1 ya uraisi? Thubutu hata mke wake hawezi kumpa hiyo kura. Labda awe raisi wa peponi!!!!
sitaku kuendelea na miswada ya bunwasi tujadili hoja nzuri sio za kina Lowasa tungoje CDM...
Jamani naomba kujua ni blog ipi inatumika kukusanya maoni katika mchakato wa katiba mpya. naomba wataalamu wa IT watusaidie tutoe maoni yetu jamani tujenge nchi yetu ya karne hii.
Jamani siku hizi watu kupata mchumba kwenye JF ni kazi sana.
pole lakini ila unaweza match na huyo mdada aliye na watoto 5 jumla mkawa na watoto 8. inawafaa sana:decision:
Jamani hawa maDr feki wamezidi bongo. Tukumbuke huyu jamaa alipata bachelor kwa magumashi tu akajitangaza sasahivi PhD ni mizengwe tu hiyo.
hebu tutumie piocha yake alipokuwa anatunukiwa tuone ukweli wa jambo hili
Jamani jambo la msingi ni nini kimesemwa na kina manufaa gani katika taifa letu, na wala sio nani kasema. Huyu jamaa aliishawahi kuwa Chadema... Sawa lakini alichokisema ni ukweli na wala sio kumbeza.
Tutakapochukua nchi yetu 2015 yeye na wanaCCM wajifunze kupitia kwetu.
Nashangaa hata mimi inabidi watu wahoji uelewa wa JK katika masomo yake ya uongozi na washauri wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.