Wapendwa poleni kwa majukumu
Naomba kujua mambo ya msingi kwa gari tajwa hapo juu
1. Ulaji wa mafuta
2. Upatikanaji wa spea
3. Magonjwa ya mara kwa mara
4. Uimara wa gari hasa kwenye bara bara za vumbi
Natanguliza shukran
wadau habari za jioni, naomba kuelekezwa jinsi ya kununa magari kwenye minada ya japan kwan wanasema ni rahisi sana kununua gari kuliko kununua kwenye haya makampun,
na je vip usalama wake na je wanasafirisha mpaka tanzania
bandugu Naomba kujua naweza pata WAP hii lower control arm ya Subaru forester TA SG5 ya kushoto Kwan yangu imekatika kichuma cha kufungia link, MTU akiweka bei sio mbays, natanguliza shukrani
wakuu Naomba msaada wa hii Gari(Nissan grolia) juu ya mambo yafuatayo
1. upatikanaji wa spea(vipuli)
2. ulaji wa mafuta
3. uimara wa Gari
wadau ushauri wenu ni muhimu sana kwangu. natanguliza shukran
wadau kutoka Kenya, Naomba kujuzwa WAP naweza pata soko mzuri la Viatu vya Mtumba. au kama kuna mfanya Biashara wa Viatu unae mjua unaweza nisaidia kwa kunipa namba zake Kwan nataka Viatu vya Mtumba kwa bei ya jumla. natanguliza shukrani
Wadau nataka kununua hizi tairi nifunge kwenye gari yangu. Si mtu wa kusafiri sana. Kwa anaejua uzuri na ubaya wa hizi tairi anijulishe. Natanguliza shukrani.
wadau naomba tujuzane bei ya hizi gari nnchini afrika kusini. lengo nikujua kama ziko chini kuleko kwetu tanzania au la.
1.ford ranger
2.mercedes benz
3.toyota hilax
na jee ni njia ipi rahisi ya kusafirisha mpaka tanzania. kwani nasikia kuna boda nyingi
natumaini ni wazima wa afya njema, naombeni kujua kwa kenye ni sehem gani naweza pata nguo za mtumba na viatu iliniweze kuzileta Tanzania kwa ajili ya biashara. ndugu zetu wakenya, msaada wenu ni muhim sana. natanguliza shukran
wakuu nmekuwa nkisikia kwa wapenzi wa magari kwamba kati ya subaru impreza wrx sti na mitsubishi evo ni gari za mabio, wapenzi wa rally tumalize ubishi kati ya subaru impreza wrx sti na mitsubishi evolution ipi ni mbabe wa rally?
NOmbeni kujua juu ya aina hizi za volkswagen
Volkswagen polo mwaka 2002 na volkswagen golf mwaka 2001 juu ya mambo yafuatayo
.ulaji wa mafuta(1l/km
.upatikanaji wa vipuli
.uimara kwa barabara zetu
.bei yake, je kwa 10m unapata?
Wadau ushauri wenu ni muhimu sana kwan utakuwa na msaada mkubwa kwangu
Nauza shamba lenye ukubwa wa heka sita(6) zilizo kaa pamoja
.Mazingira ni mazuri sana
.Kinafaa kwa shule au hotel
.Kipo MAJI YA CHAI
.Umbali ni KM 2.5 kutoka barabara ya moshi arusha na KM 28 kutoka arusha mjin
.Bei ni 20,000,000@ heka, maongezi yapo
.Mawasiliano 0767425555
Viwanja
20*20 mita...
Mwaka : 2000
Mafuta : dizel
Rangi : silver
Cc : 3150
Model : QD
Bei: 14 m
Mawasiliano: 0767 425555,Arusha
Sababu za kuuza: nataka niongezee ninunue gari nyingine ya biashara. Gari iko vizur na imetumika mwaka mmoja tangu itoke japan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.