Search results

  1. M

    Kero ya Kelele Kutoka Makanisa ya Kilokole

    Umenena kweli! Kelele zimezidi mitaani. Pia wenye maduka hasa kwenye miji yetu midogo wanaweka maspika makubwa mbele ya maduka yao na kufungulia miziki na sauti za video kwa sauti za juu sana, kiasi kwamba watembea kwa miguu katika maeneo hayo hunatarisha maisha yao kwa kutosikia sauti na honi...
  2. M

    Ombi kwa wabunge wa CCM kesho

    Your comment presage that the bill is to fix the opposition?
  3. M

    Kuna Hatari Kwa Tanzania Kuingia Katika Recession

    Naona wewe ndie hujui maama yake!!
  4. M

    Anguko sasa ni dhahiri

    Sagacious
  5. M

    KILIMANJARO: Milioni 100 zaporwa duka la kubadilisha fedha

    Ubaguzi wa rangi??? Kwa nini? Watanzania wasiokuwa weusi wakiibiwa inawafurahisha watz weusi? Sio sawa hata kidogo. Mmepotea mnaoshabikia! Xenophobia??
  6. M

    The Truth About Magufuli

    Precise! It is 55 yrs now that people are waiting for the elected leaders to give them development solution as the same elected leaders keep promising the people to give them development solutions.
  7. M

    Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete afiwa na kaka yake

    God takes to give More! Poleni wafiwa.
  8. M

    Walimu Dar kusafiri bure kwenye daladala

    Je, Waalimu wenye vyombo vyao vya usafiri wamefikiriwaje kwenye mpango huu
  9. M

    Wizara ya Nishati Angalieni bei ya umeme, service charge ya nini?

    Kwa hiyo, abiria walipe service charge gari ikipata pancha, ukienda TRA kulipa kodi nako ulipe service charge, ukienda Ardhi kulipia kiwanja ulipe service charge n.k?
  10. M

    TAMISEMI kuwa chini ya Ofisi ya Rais, nini nguvu na mamlaka za Serikali za Mitaa??

    Kwa sababu wezi ni watumishi walioajiriwa na serikali?
  11. M

    Ni kweli pilau lina sumu zaidi ya 10?

    Dawa yoyote ikizidi mwilini ni sumu. Kama viungo ni dawa basi vikizidi mwilini vitadhuru huo mwili!
  12. M

    Mwenyekiti shule binafsi: Ada elekezi kwa shule binafsi ni kiini macho

    Nakumbukia shule wazazi! Sijui, bado zipo?
  13. M

    Mwenyekiti shule binafsi: Ada elekezi kwa shule binafsi ni kiini macho

    Wapange pia bei za huduma zitolewazo hotelini iwapo watapanga karo elekezi?
Back
Top Bottom