Umenena kweli! Kelele zimezidi mitaani. Pia wenye maduka hasa kwenye miji yetu midogo wanaweka maspika makubwa mbele ya maduka yao na kufungulia miziki na sauti za video kwa sauti za juu sana, kiasi kwamba watembea kwa miguu katika maeneo hayo hunatarisha maisha yao kwa kutosikia sauti na honi...
Ubaguzi wa rangi??? Kwa nini? Watanzania wasiokuwa weusi wakiibiwa inawafurahisha watz weusi? Sio sawa hata kidogo. Mmepotea mnaoshabikia! Xenophobia??
Precise! It is 55 yrs now that people are waiting for the elected leaders to give them development solution as the same elected leaders keep promising the people to give them development solutions.
Kwa hiyo, abiria walipe service charge gari ikipata pancha, ukienda TRA kulipa kodi nako ulipe service charge, ukienda Ardhi kulipia kiwanja ulipe service charge n.k?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.