Kijana huyu wa Bavicha hajasikika kabisa tangu alikua amekamatwa na polisi kwa uchochezi wakutaka kuzuiya mikutano ya CCM kule Dodoma.
Na mbwembwe zake zote sasa hivi Kimyaaaaaa! kweli JPM amewakata pabaya Bavicha na CDM yao kama hawapoo! wamebaki wachochezi wachache mitandaoni.
Mungu jalia hata...
Wajumbe wa Kamati Kuu CUF Kanda ya Kusini mikoa ya Lindi na Mtwara, wamemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kutoingilia mgogoro wa chama hicho kwani wakati CHADEMA ikiwa na migogoro CUF huwa hawaingilii.
Video hii hapa.
My take: Mbowe acha Lipumba ajenge CUF yake wewe kweny CDM huingiliwi.
Hizi ni habar za uhakika na sababu yake ni kuwa haujaitishwa na mwenyekiti halali wa chama ambaye ni Prof. Ibrahim Lipumba. Aidha wameenda mbali zaidi na kutaka polisi izuwiye mkutano huu.
Tangazo lenyewe la mkutano huo hili hapa;
The Civic United Front-CUF
Chama cha Wananchi
Wilaya ya Tanga...
Wadau habari.
Baada ya Prof. Kuthibiti ofisi ya CUF kilichobaki sasa nikuithibiti ruzuku ya chama hicho ili ajihakikishie umiliki halali wa uenyekiti. Wale wanaobeza uwenyekiti wake wasubiri pale atakapokua na nguvu kamili ya kuthibiti hela za chama watataka usuluhishi wenyewe vinginevo...
anaandika Ali Mohammed, Kwenye sauti ya Mzanzibar.
Hivyo katika upinzani wa Tanzania, CCM inaiangalia CUF kuwa ndiye adui wake wa karibu na hatarishi zaidi kuliko chama chengine chochote kile. Hata pale UKAWA ilipojaribu kutaka kutengeneza adui wa pili, kwa mfano, pale walipokubaliana kuachia...
We help in:- Proposal development, Questionnaire designing, Data analysis, Data presentation and Report writing
We also help in teaching different database and analysis software such as:-
MS EXCEL
MS ACCESS
EPI-DATA
EPI-INFO
SPSS
STATA
R
Welcome
Contact: Mob - 0765-751 003
E-mail...
Jamani, ngoma sasa inogile. Prof. leo kakomaa hataki kabisa kuambiwa amesimamishwa uanachama.
Hii safi sana maana maalim anaendesha chama kama mali yake.
===========
Akihojiwa na mtangazaji Spencer Lamerk wa ITV usiku huu, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba amesema kuwa yeye bado ni Mwenyekiti...
Leo hii mhe. Lowasa amekutana ana kwa ana na Rais Magufuli na huenda ameambiwa awashawishi wafuasi wa chadema wasiandamane ifikapo tar 1. Hii ni dalili nzuri kwamba wale walopanga uhuni wameshindwa
Habari za hivi punde zinasema, uteuzi wa mkuu wa mkoa wa Arusha umetenguliwa na nafasi yake kuchukuliwa na Mrisho Gambo. Inaelezwa kuwa Ntibenda atapangiwa kazi nyingine.
Je huku si kumtumbua taratibu? ni kweli atapangiwa kazi nyingine? tusubir tuone
habari wanabodi
Huyu bwana tangu kutemwa CCM na baadae kujiunga na CUF amekua akionekana kwa nadra sana. Alionekana sanasana wakati wa kampeni kabla ya uchaguzi 2015 lakini baada ya hapo hayupo active. Au CUF wanambania? naona sana walio active kwenye CUF ni akina Jussa, Mazrui na wengine ila...
wanabodi, hakika wapuuzeni wote wanaodai kwamba maalim seif alimsaliti Abdu Jumbe kwani ukweli kamili huu hapa.
Mwaka 1984, Rais wa Zanzibar, Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, na Makamo wa Pili wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Aboud Jumbe Mwinyi, alilazimishwa kujiuzulu katika...
wanajanvi habari.
Baada ya vituko na mikasa aliyokuwa akiifanya mchungaji mtikila ni dhahiri kwamba mikoba yake ameirithi tundu lissu. Tundu lissu ni mtu asiyetumia hekima hasa katika kuheshim mamlaka zilizopo amekuwa akifanya vituko ili tu ajinge jina lake bila kujua anajiaabisha mwenyewe...
Hii, imetolewa na united nation world economic and social council. Kwa habari zaidi ingia hapa
Botswana's Ian Khama Announced as World's Best President
hii inasemekana kumpa nafasi kubwa kuwania ukatibu mkuu wa umoja wa mataifa baada ya ban ikiwa yeye mwenyewe atataka.
Mytake;
tungekuwa na ma...
Inakuaje mtu ambaye umetumwa na wapiga kura wako unaingia bungeni na kuanza kutoa matusi na dharau badala ya kuchangia hoja. hivi ukawa nani hasa kawaroga? kaeni bungeni leteni hoja ili muisaidie nchi hii, kelele na dharau hazifai na hatuwezi kufikia lengo la tanzania ya viwanda na wachapakazi...
Habari wa jamii,
Leo hii Uingereza imepiga kura ya kujitoa kwenye Jumuia ya Umoja wa Ulaya. Hii iwe funzo kwa nchi yetu tanzania kwenye hili linaloitwa Jumuiya ya Africa Mashariki. Nakumbuka kulipokuwepo na matatizo kati ya Tanzania na Rwanda nchi za Kenya, Uganda na Rwanda waliamua kufanya...
Hivi ni ushambaa au kutokujua maadili ya watu wengine
hebu soma hapa.
Jamani tuache tutamani ma flight attendant tunaposafiri.
=======
Dubai. A Tanzanian (name withheld), travelling on an Emirates Airline flight from Dar es Salaam to Dubai, was charged at a Dubai court today after he pulled a...
Leo Maalim Seif amekamilisha ziara yake marekani na sasa anaelekea canada. Ziara hiyo ina nia pia ya kupeleka ujumbe kwa jumuiya za kimataifa kuhusu hali ya democrasia zanzibar na tanzania kwa ujumla hasa hasa uchaguzi uliofanywa octoba mwaka jana ambapo anadai kuporwa ushindi wake.
Swali ni je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.