usitokwe na povu jingi, tumeshawaambia zamani mtanyooka tu. Hiv we Bavicha nini maana virusi wabaya kwenye hili ni Bavicha hakuna wengine. Ila tumeshawatarifu tangu zamani kwenye uzi huu hapa chini kama hukusoma.
Baada ya kudhibiti ofisi: Sasa ni Ruzuku, Maalim atanyooka tu
Mleta mada hii mbona unatokwa na povu sana? au we bavicha nini maana bavicha hili linawauma kuliko CUF Zanzibar.
Hili tumeshawajulisha zamani mkakataa na uzi tuliotuma hapa huu hapa.
Baada ya kudhibiti ofisi: Sasa ni Ruzuku, Maalim atanyooka tu
Kijana huyu wa Bavicha hajasikika kabisa tangu alikua amekamatwa na polisi kwa uchochezi wakutaka kuzuiya mikutano ya CCM kule Dodoma.
Na mbwembwe zake zote sasa hivi Kimyaaaaaa! kweli JPM amewakata pabaya Bavicha na CDM yao kama hawapoo! wamebaki wachochezi wachache mitandaoni.
Mungu jalia hata...
Wajumbe wa Kamati Kuu CUF Kanda ya Kusini mikoa ya Lindi na Mtwara, wamemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kutoingilia mgogoro wa chama hicho kwani wakati CHADEMA ikiwa na migogoro CUF huwa hawaingilii.
Video hii hapa.
My take: Mbowe acha Lipumba ajenge CUF yake wewe kweny CDM huingiliwi.
Unajua kuna mambo kama hukuyafanya utotoni au ujanani utayafanya uzeeni tu. Huyu sumaye hakuwa mtundu utotoni ngoja sasa kina mbowe wamfundishe utundu ukubwani, swali ni jeee? ataumudu mchezo wa utu uzimani?
Hizi ni habar za uhakika na sababu yake ni kuwa haujaitishwa na mwenyekiti halali wa chama ambaye ni Prof. Ibrahim Lipumba. Aidha wameenda mbali zaidi na kutaka polisi izuwiye mkutano huu.
Tangazo lenyewe la mkutano huo hili hapa;
The Civic United Front-CUF
Chama cha Wananchi
Wilaya ya Tanga...
Anaandika Hilda Newton,
Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu (Mb), ataongoza jopo la mawakili la UKAWA, kuwaburuza mahakamani Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi na Mwanachama wa zamani wa CUF Prof. Ibrahimu Lipumba kwa tuhuma za kukihujumu chama hicho.!
Maoni.
Tulishasema UKAWA...
wadau kuna jamaa kaandika hivi.
Kwani UKAWA una usajili kwa msajili wa vyama? Umesajiliwa wapi? Huo ni muungano wa uchochoroni usiotambuliwa na msajili wa vyama wala hautambuliwi na sheria yoyote.Hicho kikao tu kisheria ni NULL AND VOID hakuna kitu kinachoitwa UKAWA kisheria.
Nawashangaa hata...
Wewe ndo hujui kabisa, kama imezekana mpaka sasa Prof. yupo ofsin unadhani haya ya pesa ni magumu? Ngojeni mutaona! by the way, mbona Chadema povu linawatoka sana kulikoni?. Hizi ndo habari za uhakika ruzuki haitatoka mpaka prof. mumutambue kuwa mwenyekiti halal mtake mstake.
Wadau habari.
Baada ya Prof. Kuthibiti ofisi ya CUF kilichobaki sasa nikuithibiti ruzuku ya chama hicho ili ajihakikishie umiliki halali wa uenyekiti. Wale wanaobeza uwenyekiti wake wasubiri pale atakapokua na nguvu kamili ya kuthibiti hela za chama watataka usuluhishi wenyewe vinginevo...
Ule mpango uliokuwepo wa maalim seif na wabunge wa CUF kufika ofisi za buguruni kesho ijumaa tar 30/9/2016 umeharibika bila shaka maalim amekosa ushirikiano kutoka polisi maana CUF bara chini ya mwenyekiti wao Prof. wako sawasawa pale ofisi kuu na hawako tayar kumruhusu seif mpaka akili kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.