Ninasimu aina ya PHILIPS Xenium w6618 imevunjika kioo naomba msaada pakuipata screen imekufa kabisa siwezi kufanya chochote ila inawaka.
Natanguliza shukrani kwanza
Simu yangu aina ya 1 plus kioo kimefunjika haifanyi kazi kabisa ila kinaonyesha, kwa yeyote mwenye kujua sehem vinavyopatikana anijulishe please!
Natanguliza shukurani zangu asante
Hivi ukienda ughaibuni hasa Marekani na mataifa ya ulaya watu wanasema umeenda unyamwezini. Ukiwa mtu wa huko ama unaishi huko unaitwa mnyamwezi, Je hii origin yake ni nin zaidi ilikuwaje ikawa watu wanaita hivyo
Ukitaka mambo yaende utakavyo ndani ya ndoa oa mwanamke asie na kisomo(au kisomo kikubwa) au kama unataka mambo yaendo sivyo ndivyo si kwa urahisi kwa nguvu tena kwa malumbano mengi pasua kichwa oa alieenda shule level za shahada ya kwanza kwenda mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.