Lipumba jamani vipi? Anapoteza mda wa kuijadili CDM, haiwezi. CDM inawakilisha 'nyomi' la ajabu, chama ni support ya watu tu. Lipumba aje na issue ya maana aone kama hajavuta nyomi.
No, is not fair kuwazuia watu na interest zao! tuko huru kushabikia chama tukitakacho, hata kama wamekodiwa ni sababu ya njaa zao. Usiwahukumu wasanii wetu bado wanatafuta, au sababu ameshakuwa mbunge hana shida ya kupanda jukwaani ndio maana anafanya hivyo? Waliipigia CCM kampeni kwa malipo...
kizazi cha waoga kudai haki zao, wanaopenda hotoba nzuri bila vitendo na wanaodhani kukandamizwa na kunyimwa uhuru wao sasa kinamalizika! kizazi kinacho kuja sasa ni hatari kwa viongozi wasanii. KAENI CHONJO HILI NI GHARIKA. jamani watanzania tusikubali kunyanyasika kiasi hiki kwenye nchi yetu...
sikio haliwezi zidi kichwa! toka lini mtoto akaenda kinyume na baba yake? hii ni danganya toto ya miaka ya 70's. wanapoteza muda kuwahubiria wanavuoni, waende vijijini ndo kuna mbumbu wa kudanganywa! we still need for true revolution
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.