Hata Hawa wa kwangu nadhani hakuna mwenye fani ya IT maana waling'ang'ania juu ya Cheti kuwe kumeandikwa DIPLOMA/DEGREE of IT/Computer, vya kwenye Transcript hawavielewi, wanasema sijasoma IT.
Habar za majukumu wanajamvi,
Kama mnavyojua tupo katika kipindi cha usaili wa sensa ktk nafasi mbalimbali. Basi bwana juzi usiku mida ya saa tano kasoro nilitumiwa messege kuwa saa 8.00 am tar 19/7 natakiwa kwenda usaili wa sensa ktk nafasi ya msimamizi wa TEHAMA Kama nilivyoomba.
Bahati mbaya...
Nina mtoto mdogo wa miaka 3½ ambaye siku ya Jana alikuwa analalamika wakti wa kujisaidia haja kubwa lakin baada ya masaa kadhaa alijisaidia kumbe alikuwa anapata maumivi ndani ya haja kubwa.
Wakati anajisaidia kilijitokeza kinyama laini ivi na alipomaliza kikarudi ndani na hali Kama iyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.