Amani iwe juu yenu.
Leo nimesikitishwa sana na hoja za wenyeviti vya uvccm wilaya za Kinondoni, Ubungo na kigamboni kwa hoja zao tatu zifuatazo:
1. Wanaccm hawa wanaipinga Katiba mpya kwa nguvu kubwa sana as if anayeitaka katiba ni mpinzani wao tu, bila kujua katiba ni Mali ya Mwananchi na sio...
Amani iwe juu yenu.
Kuna jambo limenifikirisha sana nalo ni kuona Bunge la JMT kuwa ni Bunge la walalamishi tu bila kuchukua hatua zozote na hayo madaraka wanayo.
Mbali na kwamba inajulikana kwamba Bunge kwa Nchi nyingi za Afrika si Tanzania pekee si muhimili huru kama inavyotakiwa kuwa au...
May mosi 2021 Rais alidai atalipa Bilioni 60 kwa ajili ya malimbikizo ya mishahara, ! Cha ajabu mpaka sasa hivi ni miezi mitatu tangu bajeti mpya hayo malimbikizo ya mishahara bado hayajalipwa.
Kama mmelipana nyinyi tu juu kwa juu basi Watanzania tungependa kujua. Na kama bado hamjalipa Salary...
Amani iwe juu yenu.
Jambo ambalo lipo wazi ni kwamba watanzania ni watu WABINAFSI SANA na watu wenye kufuata maslahi.
Jambo lingine ambalo lipo wazi ni kuwa KATIBA mpya ni jambo lisilo zuilika kabisa na wanaopinga au kukataa KATIBA mpya basi rudi kwenye pointi yangu hapo juu.
Mifumo mingi ya...
Amani iwe juu yenu.
Jambo la mishahara ni kitu muhimu sana kwa mtu ndio maisha yake na ndio uhai wake. Kuna mtumishi namba moja aliyepita alipata kusema "Asiyefanya kazi na asile na maana yake afe" hivyo kila mtu hufanya kazi ili aishi yeye na familia yake.
Unyeti wa mshahara ndio umefanya...
Amani iwe juu yenu nyote.
Kuna umuhimu mkubwa sana wa kubadilisha mifumo yote inayo tumika kupata viongozi wa Nchi hii, viongozi ambao wanakuwa madarakani kwa sababu ya mtu aliyemteua au chama kinacho tawala badala ya Wananchi na ustawi wao.
Dunia ya sasa hivi hakuna kiongozi hata mmoja...
Amani iwe nanyi.
Mnamo tarehe 30 July 2020 nilimkopesha L.S. pesa kiasi cha 1.5M kwa riba ya 25% kwa mwezi mmoja hadi tarehe 30 Agosti 2020.
Wakati wa kupeana pesa tuliandikishana mbele ya balozi na ndugu yake mmoja kama shahidi wake. Dhamana ya mkopo wake ilikuwa hati ya serikali ya mtaa ya...
Amani iwe nanyi
Hii hali kwamba ndugu yako akituhumiwa kwa uharifu wowote kisha kukamatwa kwenye mchakato wa dhamani inaleta tabu sana kwa wananchi wanyonge na walalahoi kwamba ndugu yako kutoka ni mpaka utoe RUSHWA yaani ile kuingia bure kutoka hela bado inaendelea mpaka kipindi hiki cha...
Amani iwe juu yenu.
Uchaguzi ni ushawishi, Sera na misimamo ya mtu. Ili uchaguliwe inabidi uwe unauwezo wa kumshawishi mtu kupitia Sera zako na vipaumbele vyako. Waambie wananchi umefanya nini kama ulipewa dhamana ya uongozi na utafanya nini kuboresha zaidi kama unaomba tena upewe ridhaa ya...
Habarini wanabodi,
Kwanza naomba nitamke wazi kwamba mimi ni mwanaccm kindakindaki na nimepanga 2025 kuonana na wajumbe.
Naomba niseme wazi kwamba ccm tulikosea kwenye vipaumbele vyetu, tuliegemea upande mmoja zaidi.( ujenzi wa miundombinu zaidi). Ni kweli Rais wetu kafanya mambo mengi sana...
Salaam.
Hakika inauma sana kwa kweli, hii serikali ya wanyonge (According to baba yao) kujinadi kujenga SGR, barabara kwa kiwango cha lami, Ununuzi wa ndege kwa cash, vivuko, madaraja na kuamia Dodoma wakati watu wanateseka mno ndani ya Nchi yao. NI UNYAMA WA HALI YA JUU SANA.
Mmejenga...
Habari za asubuhi.
Sisi watanzania tuna tatizo kubwa sana la kufikiri na kuchambua mambo. Uzuri wa Rais haupimwi kwa
1. Kujenga miundombinu maana ndio kazi yao na wana tumia kodi zetu. Mtu hana hata aibu kusema Rais kajenga barabara, flyover na madaraja sasa wewe ulitaka afanye nini kama...
Amani iwe juu yenu.
Binadamu wengi hujifunza kutokana na makosa, nami nimejifunza haya baada ya kupoteza kazi yangu mwishoni mwezi November. Naimani haya huenda yakawasaidia baadhi ya watu humu.
1. Kumbe unaweza kuishi kwa mihogo na maji ya kandoro na siku ikapita.
2. Kwenye mitumba pia kuna...
Habarini Wandugu.
Naomba kusaidiana kupeana taarifa juu ya nyumba au vyumba vya kupanga kwa jiji la Dar es salaam.
Kuna nyumba itakuwa wazi kuanzia January 10 yenye:
- Vyumba 2 kimoja master
- Sitting room
- Kitchen
Na kodi inalipwa kuanzia miezi 2 na kuendelea. Nyumba ipo mivumoni ya Madale...
Habarini .....
Natafuta wale watu wa makampuni ya ujenzi wanijengee nyumba yenye sifa zifuatavyo kwa budget ya Tsh 7M.
Chumba na choo chake (Master)
Sebule (Living room)
Public toilet
Kitchen( jiko)
Eneo ni Bagamoyo kata ya Zinga jirani sana na barabara ya bagamoyo.
Atalipwa nusu baada...
Kuja jamaa humu kaja na Uzi wa kupangisha zile nyumba za NHC zilizopo magomeni usalama.
hivi NHC huwa inamtarget nani kwa hiyo bei kwenye nyumba zake ???
Nini maana ya VISION NA MISSION ZA NHC ???
Na kwa nini nyumba zake nyingi wanakaa wageni kuliko wazawa ???
UZALENDO NI KITU KIGUMU SANA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.