Namba moja hapana aiseee siwezi kumaliza japo wiki moja tu bila kujichua vinginevyo nito......e kila baada ya siku mbili au tatu.
Sherehe, hafla au shughuli yoyote siwezi kabisa kuhudhulia na sijawahi kufanya sherehe ya aina yoyote ile, siku yangu ya ndoa ukeni walipolazimisha sherehe ikabidi...
Tatizo Afrika tumeipa nguvu na thamani kubwa mno SIASA kuliko weledi na taaluma.
We uliona wapi ! Mtunga sheria za Nchi ( kodi na namna ya kuongoza Nchi) ajue kusoma na kuandika tu huku msimamizi wa hizo sheria ni form four leaver (Polisi ) halafu mtafsiri wa sheria hizo zilizotungwa na darasa...
Mje Muwaambie WASUKUMA waache kukata kata miti ovyo badala yake watumie gesi.
Wasukuma ni kabila ambalo linakata miti kupita kiasi pia kwao kutumia gesi ni anasa kwa kuwa kuna kuni za bure.
Hawa jamaa hata waliosoma hawajaelimika kabisa.
Porojo tu, huku Maswa mwalimu aliyehamia kutoka Arusha mpaka sasa hawajampangia kituo cha kazi.
Miezi miwili kupanga tu kituo cha kazi ni shughuli ya kufanikisha.
Naheshimu sana mawazo yako ILA huo mfumo ndio uliokuwepo kabla JPM hajabadilisha na kuleta huo wa sasa kwamba pesa yote inakusanywa kwenda hazina na kurudishwa mikoani kwa ajili ya maendeleo.
MADARAKA YALIKUWA MIKOANI NA PESA WALIKUWA NAYO TATIZO WATZ SISI NI WEZI SANA NA WABINAFSI MNO.
ACHA...
Mkuu kumbe upo Kikatiti ! Naomba tufahamiane basi mie nipo hapa petrol station Kikatiti.
Mtoto anaweza kupokelewa kwa notice maalum au taarifa kutoka kwa mzazi haina shida hiyo kikubwa taarifa.
Ndio.
Tz watu hatuna desturi ya kuweka akiba na kuwekeza kwenye miradi mbalimbali ingekuwa tunawekeza sioni sababu ya mtu kufanya kazi mpaka unafikisha miaka 60 au 65 unashindwa hata kula hela yako vizuri.
Aiseee nimelia kama nimefiwa na Mama... ;;
Kilichoniuma zaidi JWTZ walihusika aiseee kisa nini hasa ? Madaraka !!? Pesa ?? Au nini ???
HIVI WALIOFANYA HIVYO NI WATANZANIA KWELIIII ????
EENHEE !! MUNGU WANGU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.