Ndg yangu kwa sababu hiyo ni planned trip ningekushauri fanya booking ya fast jet leo, gharama zake hazizidi 150,000/= kwenda na kurudi, one hour umetua Songwe. safe, cheap, accessible and comfortable..........
Bw. GJ Malissa asante kwa taarifa ambayo kimsingi kwako naona ni kama pilipili ya shamba tu......... Anyway, hebu nisaidie kwa ujuvi wako uliotukuka hivi hapo namba 10 hiyo mikutano wajumbe wake ni akina nani??
Dini nazo siku hz zinahitaji promo kama "HALICHACHI" sasa kulikua na haja gani ya kutangaza huo ujio leo kama sio promo@work........... Pole Africa yangu
Naunga mkono hoja, n vema serikali yetu tukufu ikajisafisha katika hili vinginevyo ikikaa kimya itamaanisha yasemwayo ni ya kweli kitendo ambacho kitawakatisha tamaa wafadhili na zaidi wananchi na Kagera na Tanzania kwa ujumla hawataiamini tena serikali yao na chama tawala, hofu yangu wanaweza...
Hao walikua mitume wake, walikua watii mno kwa Six kiasi ambacho wengine waliamua kujitoa sadaka (rejea Mpendazoe) Lakini kwa hakika mzee Six alikua na projection ya kuja kugombea urais na aliamini angepata hivyo alikua anahangaika sana kujenga mtandao wake thats why majority ya wafuasi wake wa...
Mm kuna mambo huwa anayafanya huyu mkulu huwa namwelewa sana, hakika zingekua zile enzi zetu za kale first lady anaumwa leo angekua St. Thomas London akipatiwa matibabu. At least he shows patriotism ndo maana wadau wanasema baba Magu katiba ya Warioba haikwepeki kama unataka kuondoa hz social...
Eeeeehhhh, kumbe ndo maana King of all social media tasnia ya wabebez ni inborn character........??? No wonder at his age alikesha Fiesta na wabebez wakareee hadi saa 12 asbh...................
Kuna kamkanganyiko nimekaona mahali, Lema kafikishwa RM'S COURT at the same time High Court Jaji Maghimbi anaamuru afikishwe mbele yake............ Sijaelewa bandugu naomba ufafanuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.