Search results

  1. F

    Hawa ndio wafanyabiashara wakubwa wa sukari nchini

    SOMA KIAMBATANISHO CHA SHERUA ILI USIJE UKAFICHA BIDHAA
  2. F

    Rais Magufuli, Namtabiria ‪anguko‬ kubwa ambalo hatutakaa tulisahau

    Mtoa mada nahisi ana nia nzuri na anatamani kuona nchi yake inasonga mbele, ila tu kasahau kidogo. Ukifanya jambo kivingine matokeo yatakuwa tofauti na ukifanya jambo vilevile matokeo yatakuwa ni yale Yale. Kit kipindi kama hivyo ambapo nchi inachukua maelekezo mpya, tegemea kuina kama...
  3. F

    Jicho la tatu utawala wa Dr. Magufuli

    Wanaopinga Serikali kuingilia kati sukari ni sawa na wanao nufaika na uhujumu uchumi na ufisadi.
  4. F

    Magufuli hana hekima ya kuendesha uchumi

    Uzuri wa JF ni kwamba unakutana na watu wa aina nyingi kama siyo zote. Jiulize, je sukari ya kutoka nje ilikuwa inaagizwa kiasi gani kwa mwezi? Je, ilikiwawa inatumia USD ngapi? Je, kuuza sana bidhaa zetu nje ya nchi na kununua sana bidhaa kutoka nje ya nchi ni kipi kinashusha dhamani ya...
  5. F

    Hawa ndio wafanyabiashara wakubwa wa sukari nchini

    Tusimgombanishe Raisi na wafanya biashara kwani Serikali haina chuki na mfanyabiashara. Usalama wa chakula kwa wananchi ni kazi ya Serikali.
  6. F

    Hawa ndio wafanyabiashara wakubwa wa sukari nchini

    Mabepari wana utaratibu. Huu ni uhujumu uchumi. Ni sawa leo atokee mfanya biashara mmoja anunue Mchele wote na kuweka bila kuuza ili aje auze kwa bei ya juu. Sidhani ikitokea hivyo watu matakaa kimya ete ni soko huru!!!! Mh Raisi anairudisha nchi kwani ilikuwa kwenye hali mbaya.
  7. F

    Kiuchumi, wafanyabiashara wapo sahihi kuficha sukari

    Sukari ya viwandani ni tofauti na sukari tunayotumia kwenye chai. Tusipotoshe watu. Umewahi kjjiuliza lita 10,000 unaweka Kiasi gani cha sukari. Sikari ya viwandani haikusimamishwa kuagizwa kutoka nje. Upungu tulinaopata siyo kwenye bidhà zinazotumia sukari ya viwandani. Kama mwenzetu...
  8. F

    Hawa ndio wafanyabiashara wakubwa wa sukari nchini

    Solo huru halitoe na halinanmaana Serikali ijitoe kwenye kusimamia. Mbona hamsemi Tume ya Ushindani wa Biashara ifutwe? Mbona hamsemi uagizaji wa Mafuta kutoka nje kila mfanya biashara aagize na kuuza anavyopenda? Mh Raisi yuko sahihi kabisa.
  9. F

    Hawa ndio wafanyabiashara wakubwa wa sukari nchini

    Hebu tupe maelezo hao uliyowataja, je ni wauzaji wa sukari kwa jumla?
  10. F

    Hawa ndio wafanyabiashara wakubwa wa sukari nchini

    Mtoa mada kumbuka wazalishaji wa bidhaa kama juisi na bidha za viwandani hutumia sukari ya viwa ndani. Hii ni sukari maalumu na siyo kama hii tunayotumia kwenye chai. Wenye viwanda vinavyotumiaya sukari hii ya waliendelea kuingia sukari ya bidha za viwandani na ndiyo maana hakuna upungufu wa...
  11. F

    Kwanini watu wa Haki za Binadamu, LHRC hawazungumzii haki za wezi wanaochomwa moto?

    Sahani kwenye aya ya kwanza isomeke mashaka na Siyo mashamba
  12. F

    Kwanini watu wa Haki za Binadamu, LHRC hawazungumzii haki za wezi wanaochomwa moto?

    LHRC wametoka mashamba ktk swali zima la kuwatetea waliotumbuliwa. Walitakiwa watupatie, kwa uwahi kabisa, wajibu na haki ya watumishi wa umma. Hata hivyo tukumbuke wanasheria ndiyo huwa wanatetea watuhumiwa hata kama inajulikana kuwa kweli mtuhumiwa ameganya uhalifu. Pamaoja nanikweli...
  13. F

    CRDB BANK na saa za kazi Kisheria

    Nawashukuru wote pia kwa michango yenu. Uhaba wa kazi haufuti wajibu na haki za pande zote
  14. F

    CRDB BANK na saa za kazi Kisheria

    Majangatz, nashukuru kwa msaada wako. Kuna haja TUICO kukaa na wanachama wao.
  15. F

    CRDB BANK na saa za kazi Kisheria

    Habari. Napenda kujua, Sheria ya Kazi inataka mfanyakazi afanye kazi saa ngapi kwa siku? Wafanyakazi wa CRDB Bank hasa Tawi la Premie huwa manatakiwa saa 1:30 asubuhi wawe wako ofisini. Inawezekana matawi mengine ni hivyo pia. Wafanyaka wa BanknaTawi husika hutoka saa 12 au saa1 usiku. Kwa sasa...
  16. F

    Mgeni

    Nawashukuru kwa ukaribisho.
  17. F

    Mgeni

    Habari members wa JF. Mimi ni mwanachama mpya. Nimekuwa nanufaika na michango, mawazo, na habari nyingi ndani ya JF, kwa miaka mingi sasa. Natoa hongera kwa wanachama wote na hasa kwa Founder kwa kazi nzuri. Naomba msamaha kama kuna chochote nimekosea kwani hii ni mara yangu ya kwanza...
Back
Top Bottom