Naona kuna watu bado hawaja waelewa hao wazungu wanaowasifia... wazungu wote ni wamoja kma mzungu hyu kamfanyia kibaya mweusi yule c kama kafanya kwa bahati mbaya hapana hivyo ndivyo walivyo.. mm naomba tuwe makini sana na hawa watu na tuache kabisa kuwatukuza kisa wanatufadhili, ufadhili huo si...
Kwa hyo hyu dada anataka na watu wengine wasilipe kodi sio kwa sababu rais yeye halipi!! "Kama anavyowasisitiza wananchi na wafanyabiashara kulipa kodi" huyu dada mm naweza mfananisha na yule mchezaji mpira asie jua kucheza kwa sababu siku hiyo kapangwa au kaingizwa kwa kutolewa mchezaji...
Nakuunga mkono mtoa mada, kma watu wanataka kutengeneza chama, basi kisihusishe kabila moja hko chama kiwe mchanganyiko hata kwa kujumuisha marafiki wa makabila tofaut tofaut na sio hzo habar za kabila moja ndo mwanzo wa ubaguzi unapoanzia.. madhara ya hivyo vyama hatuta yaona leo miaka michache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.