Bado wangeweza kuiruhusu kutua ili kujilizishasha kuhusu abiria wa ndege hiyo,kumwambia mtu atue at his own risk kimsingi ni kumwambia aondoke!
Hawezi kufanya hivyo kwa sababu tu hauna uhakika kama Pierre alikuwa on board,kimsingi kutokuwa na uhakika huo ndiyo likuwa sababu ya msingi ya kufanya...
Hiyo ni tafsiri yako wewe ya uanaume kwa sababu ndiyo unayokidhi matakwa yako ya kuishi kwa kumtegemea mwanaume!!
Mwanamke ni MSAIDIZI sio TEGEMEZI,ila type za wanawake zetu wa Magomeni(Wavukiza udi) hawa sio utamtegemeza yeye tu,kwao hawa Uanaaume ni kumtegemeza yeye na familia yake yooooote,ni...
Enheeeeeeeeeeee sasa ww umeongea vizuri Sio hawa wajasiriamwili wengine wanaona kuwa na uchi tayari ni mtaji,Uchi hauuzwi,nikupe fedha kwa ridhaa yangu na Sio mizingamizinga isiyoisha au kunifanya mimi masihi wa maisha yako!!
Mwanamke wa Ukweli anajua kwamba kupokea kutoka kwa mwanaume ni ziada...
Ndiyo Ukweli,kuwa mwanamke siyo sababu ya kugeuka Matonya,lakini hata hivyo hatuna budi kuvumiliana kwa sababu gharama za kuishi zimeongezeka maradufu!!
Hapo mkuu Sio tu hajui kiswahili,kichwa chake nacho kina mushkeli,ni dhahiri hapo muumbaji ni zaidi ya mmoja lakini sasa hv utamwona anakuja hapa anajitoa fahamu,na hakosi la kuandika,hapo ndiyo utakapojua kwamba some people urgently need psychiatrists.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.