Mfano mtu kashajenga msingi kajaza kifusi vyumba 3, nyumba ya urefu 15 upana 11 , master urefu 4.5m kwa 4.1m, vyumba viwili kila kimoja 3.2m kwa 3.3m, stoo 1.5m kwa 1.2m, lounge 5m kwa 4m, dinning 3.1m kwa 3m, kitchen 3.1m kwa 3m kunyanyua boma hadi kupaua inazidi 35m? Maana kuna hesabu...
Katafute viwanja nyashishi unaweza kupata kiwanja cha 3m ukajenga lakini lazima ubane sana mafundi walau uezeke
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Barabara naijua sana enzi hizo lakini ni miaka mingi sana tukiwa wadogo mvua kidogo tu utasikia daraja la suguti limejaa ,gari kukwama kwenye matope na usumbufu kadha wa kadha hadi muda mwingine kupelekea baadhi ya Gari kusitisha safari hadi mvua itakapoisha..
Sasa huwa najiuliza ni wabunge wa...
Yes ndo maana nilitunza hela nikusanye kwanza mwakani kufika April to June nitakuwa nimekamilisha
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Acha kabisa mm mwezi Nov nilinyanyua BOMA langu nikafunga lenta nikataka kuezeka kabisa bati za kuezekea na kofia jml 154 kwa bei ya Mwanza natakiwa niwe na 6,006,000 kwa bei ya 39,000/- kwa alaf mkononi nikicheki Nina km 4M nikaacha BOMA linyeshewe mvua nikusanye nguvu ,nilitembelea makapuni...
Kwanza kiwanja,ukishanunua kiwanja peleka materials kidogo kidogo mf mawe,tofali,mchanga ,kokoto kwa ajili ya msingi huwezi kuanza kuweka hivyo ulivyo vitaja wakati bajeti yako ndogo unaweza usimalize boma
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Shukrani sana kaka nilichohitaji nikujua tofali ngapi,bati ngapi, cement mifuko mingapi bajeti yangu kunyanyua BOMA hadi kuezeka ipo 15M lakini site Iko jijini Mwanza
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Umenikumbusha utoto naitwa Dokta kwa kusolve maswali magumu na kila nikiulizwa napenda kuwa Nani najibu Dokta Ila kusoma koote mwisho wa siku na debit na kucredit Hahahahaha
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Mbona bei ndogo sana hiyo? Buswelu viwanja ndo bei bei kidogo,Kuna eneo panaitwa Sahwa Iko ktk kata ya Buhongwa Kuna mradi mkubwa wa maji na viwanja vyake vingi vimepimwa waweza kwenda ujionee unless labda itakuwa mbali na kazini kwako
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Habari za majukumu ktk ujenzi wa Taifa?
Kati ya Bachelor of Sociology Udom, Bachelor of Sociology SAUT Mwanza na Bachelor of Public Administration Mzumbe Campus ya Dar, na Community & Development Studies Ardhi bora wapi?
Ni mtoto wa kike anaomba ushauri aconfirm wapi.
Ahsante
Nimescreenshot hii maana Nina ujenzi Oct-December nitahitaji rangi hizi nipite madukani kucheki maujanja
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Second round ishaanza ndugu nishaomba baadhi ya vyuo kadhaa ksb dogo alikosa round ya kwanza ndo nilitaka kumuombea na Udom Ila ndo hivyo still not paid yaani sijui itakuwaje na siku zinakimbia hatari
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.