1.Kama kwenye sukari wananchi wamelalamika serekali ikashusha bei mara moja, je Wasira alimaanisha nini kusema "Mr Kikwete atafanya nini kupanda bei ya mafuta duniani'?
2. Ni nchi gani ambayo RAISI anaingia makubaliano na Majangili (mafisadi) kulipa hela walizokwapua kidogo kidogo?
3. Ni...
Vipi wana Mwanza na watanzania mliosikiliza redio na tv including TBC ya CCM, je, intelijensia ya police haijaletwa na shemeji wa Jk, Saidi Mwema against maandamano hayo?
Hakuna cha kushangaa hapa maana ni sala tuu ndio zitatuokoa watanzania....
1. Unapoona raisi anasikitikia silaha kwanza then mwishoni ndio anajifanya kuzungumzia waliokufa ni hatari kabisa. Maana yake watanzania hawana umuhimu....na hanswa kwa kuinyimakura CCM huko gongo la mboto hadi...
PAULSS , here are the names of the WATEULE
(i) Mwenyekiti wa kamati ya fedha na uchumi ni Abdallah Kigoda
(ii) Mwenyekiti wa kamati ya katiba ,sheria na utawala ni Pindi Chana
(iii) Mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje, ulinzi na usalama ni Edward Nyoyai Lowassa
(iv)Mwenyekiti wa kamati ya...
Mkuu Masanilo, hadi dakika hii jina la KAFULILA na HAMAD halijatokea kushinda kwenye kamati yeyote. Ninaimani kuwa hoja yao jana haikuwa kwa lengo la kushika kibendera. Sasa nauliza, ina maana hata wenzao wa CCM A wamewatosa?
KAtika matokeo ya uchagizi wa wenyeviti wa kamati za bunge sijaona majina ya HAMAD RASHID na KAFULILA. Kwa kuwa ninaamini wamegombea nafasi mojawapo kati ya zile zilizowatuma kuomba bunge kuwafungisha ndoa ya LAZIMA na CHADEMA ili waziongoze, je wametoswa?
Tunaomba mtujuze wenye taarifa.
baada ya hotuba ya mkulu ya jusi, ninajiuliza kama anafahamu maana ya methali "akutukanaye hakuchagulii tusi...." itamnasua katika haya.....
1. Aliwahi kusema hajui kwa nini watanzania ni maskini.
2. CC ya CCM ikasema via CHILIGATI "KAMATI IMEONELEA DOWANS WALIPWE".....AG anasema serekali...
Ndugu Matarese, salamu kwako na kwa wana JF wote.
Binafsi sijaelewa msingi wa soment yako. Je, unamkatisha tamaa muanzisha mada hii? au Unajaribu kumdefend mwana makamba toka kwa shutuma hii?
Kama sijasahau, hii mada sio mpya. Iliwahi kuletwa hapa mwishoni mwa mwaka jana, lakini kwa sababu...
Critisims nazikubali, labda nikuteleza vidole lakini pia, mada hii ni muendelezo wa mada iliyopita ya tarehe 25 December, 2010
Naweka machache...
25th December 2010 11:46 AM #2
The Dreamer
View Profile
View Forum Posts
Private Message
View Articles
Add as Contact
JF Senior...
Kwa wiki kadhaa sasa kumekuwa na migomo na maamdamano kwa wanafunzi wa vyuo vyetu hapa nchini. Mwodoko huu wa migomo umesisiwa na CHUO CHETU CHA KATA-Dodoma ambacho ni kipenzi cha JK na serekali yake baada ya KUTEKELEZA ilani ya CHADEMA ya 2005-2010 kuhusu ujenzi wa DODODMA kama kituo cha elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.