Moja kwa moja kwenye mada!!
Mara nyingi najiuliza kwamba suala hili la mfumo wetu wa elimu kuzalisha mbumbumbu, Serikali hailioni imeshindikana kuubadilisha, au kuna manufaa gani inapata kwa mfumo huu.
Miaka 7 ya primary school tunafundishwa Mkwawa alikufa mwaka gani? Mara Kinjekitile Ngwale...
Wakuu hamjambo?
Moja kwa moja kwenye mada baada ya kutafakari kwa kina nimekuja na conclusion kuwa huwenda sifa kuu ya Mungu wetu huyu ni Upweke.
Yaani ile Incredible Genius Mind , ile creativity capacity, ile mysterious capacity of doing things beyond Impossibility.
Sifa hizi zote za...
Moja kwa moja kwenye mada.
Baada ya Mungu kutaka kumuumba Mwanamke Adam alimpa usingizi mzito na jambo moja alilofanya ni kuchomoa mbavu moja kwa Adamu kwa ajili ya material ya kumuumba Mwanamke.
Je, ni hilo tu ndilo lililofanyika Adam akiwa usingizini? Pengine hichi ndicho kipindi Mungu...
Moja kwa moja kwenye mada haingii akilini kwamba Adamu aliumbwa na maumbile ya kiume mfano korodani, mfumo wa utengenezaji wa manii, uwezo wa kusimamisha uume, sexual hormones, Nyege
Hapakuwa na mwanamke kwa nini apewe hivyo vitu
Hoja yangu: Adamu aliumbwa akiwa sio mwanaume
Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.
Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui
Kwa ajili...
Nini dawa ya mwanamke anayependa kushinda na vikanga vilivyopauka wakati kila mwezi unampa pesa ya kununua nguo na nyingine unamnunulia mwenyewe alafu ukizingatia ni black binti tu.
Hili swala naona litanifanya nichukue maamuzi magumu.
Wakuu mwenye kujua hii kitu anijuze kiundani hapa
==================
What Is a Black Hole?
An artist's drawing a black hole named Cygnus X-1. It formed when a large star caved in. This black hole pulls matter from blue star beside it.
Credits: NASA/CXC/M.Weiss
An artist's drawing shows the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.