"This publication is dedicated to my wife Susana Charles Feleshi whose humble support from the time of embarking on the programme of research always reminded me of her true love and sense of care"
Wewe unaamini hilo? Jaji Mkuu anaweza vipi kuongeza mashtaka yaliyoondolewa na DPP mfano? na kwa nini hayakurejeshwa yote kama DPP hakuwa na hoja? lakini tukumbuke kesi ni ushahidi, na pia DPP ni taasisi.
Kwa kipindi kirefu kumekuwa na uchafuzi wa Haiba ya Mh Edward Lowassa mitandaoni nA kwenye vyombo vya Habari hasa Magazeti kuhusu Utajiri wake.
Toka kuonesha kwake nia na Kutangaza nia YA kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia chama chake cha Mapinduzi CCM,Mh Edward Lowassa...
Ulitaka ausake vipi huo uRais? unaushahidi juu ya huo unaouita utajiri wa mashaka? hata kama ndio ni tajiri, ulishasikia tume ya maadili ya viongozi wa umma wamewahi kumtilia shaka na hatimaye kumuhoji juu ya namna alivyoupata huo unaouita utajiri?
Unauhakika Mwl alisema hayo maneno? za kuambiwa changanya na za kwako, Mwl hakuwa mnafiki, asingemhusisha na rushwa then hapohapo akasimama mbele ya waandishi wa habari akasema ndani ya CCM kuna vijana wenye sifa na uwezo wa kuwa maRais, aliulizwa awataje alisema kuna Mkapa, Kikwete na Lowassa...
Anajua nini cha kukisema, akisemee wapi, akisemee kwa nani na ni wakati upi muafaka wa kukisema.
Kifupi alishagalielezea hilo swala siku alipohojiwa na Tido, uvivu wako wa kutafuta facts kama sio ukichwa cha panzi wako ndivyo vinavyokufanya usielewe, kujikumbusha ingia u tube tafuta "Edward...
Jiandae kisaikolojia tu, mwaka huu mtahama nchi akiingia, na aliposema mchakamchaka ni mchakamchaka hasa, nyie wazembe msiotaka kufanya kazi kwa bidii na kwa ufanisi Tanzania hapatakuwa mahala salama kwenu.
Mwaka huu mtahama nchi, tunachohitaji ni hivyo vielelezo vya ufisadi wake tujilidhishe ili isiwe tu kutompa uRais bali tumshitaki kabisa, fisadi na mwizi mahala pake ni jela na sio kunyimwa uongozi.
Hivi mnataka Lowassa asiwe na marafiki? amekuwa Mungu azuie mioyo ya watu isimpende? hizo skendo za ufisadi mnazomzushia wekeni ushahidi hapa tumshtaki tofauti na hapo hatuelewi na hatusikii.
Leo ndo mmemuona fisadi mala mwizi, wezi, wahujumu uchumi na watumiaji vibaya wa madaraka makao yao ni...
Kweli inasikitisha, Waziri mzima analeta mizaha kabisa kwenye swala nyeti kama hili? hivi kweli Rasimu iko na swala la ushoga humo ndani?!!! What a shame!
I wish I could have a gun aisee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.