Mmoja wa wakurugenzi katika kampuni ya uchapishaji ya Jamana Printers (KAZIM) amekimbia nchini baada ya sakata la vitabu vya serikali vilivyochapishwa na kampuni hiyo kuwa chini ya kiwango.
Kampuni hiyo ilipewa tenda na serikali ya kuchapisha vitabu LAKI TATU NA NUSU lakini vimeonekana kuwa...
Makamanda wa CHADEMA Geita wapo kwenye kata ya Kalangalala wakipiga kaziya kutoa elimu ya Uraia.
Wanasema CCM kwa njia za kistaarabu hawataki kutoka,wametumia vibaya rasilimali za hii nchi hivyo wanaogopa kutoka kwa kuwa watafikishwa mbele ya sheria na kufungwa.Wanasema serikali makini lazima...
Mwanamke mmoja mkoani Geita ambaye ni mke wa mfanyakazi wa mgodi wa dhahabu wa Geita amefariki dunia kwenye hospitali ya Wilaya ya Geita baada ya umeme kukatika wakati wa kufanyiwa oparation ya tumbo. Mwanamke huyo alipatwa na umauti huo mara tu baada ya umeme kukatika kutokana na kukosa hewa ya...
Hivi karibuni CCM imekuwa ikifanya kila aina ya mipango na njama ili kuhakikisha kuwa CHADEMA haifiki mwaka 2015 ikiwa kama ilivyo sasa na uongozi imara uliopo, inataka kuhakikisha kuwa chama hiki kikuu cha upinzani kinachotarajia kuchukua dola mwaka 2015 kinapotea kabisa kwenye ulingo wa siasa...
Mgodi wa Dhahabu wa Geita umejibu tuhuma mbalimbali zilizotolewa na CCM
Mnamo Tarehe 23 Novemba 2012, wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), akiwemo Naibu Waziri wa Nishati na Madini Bw. Steven Masele walifanya mkutano wa hadhara Geita mjini, katika mkutano huo walilalamikia mgodi wa Geita...
Wafanyakazi wa MGODI WA DAHABU WA GEITA wamenyimwa kibali cha maandano yaliyokuwa yanatarajia kufanyika siku ya jumamosi tarehe 28/07/12 kwa ajili ya kupinga sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii.Akitoa taarifa kwa wafanyakazi wa mgodi huo kwa njia ya mtandao, mratibu wa maanadamano hayao...
Wadau, wananchi wanaoingia mgodini kwa ajili ya kuchukua mali yao wameanzisha vita na mgodi kwa kukataza wafanyakazi na magari ya mgodi kuonekana mtaani. Siku za hivi karibuni wamekuwa wakiingia kwenye mgodini kundi kubwa kama la watu 300 huku wakiwa na silaha, juzi mlinzi mmoja alipigwa panga...
WADAU HEBU ANGALIENI JINSI WATU VIJIJINI WALIVYOAMKA NA KUTAKA MABADILIKO, HAPA NI PICHA ZA UZINDUZI WA TAWI LA CHADEMA KATIKA KIJIJI CHA MISRI WILAYANI GEITA, UZINDUZI HUO ULIONGOZWA NA ALIYEKUWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA GEITA KWA TIKETI YA CHADEMA NDUGU Ruhega, Rogers.JE CCM WATATOKA 2015?
Wana jamvi leo nilikuwa nasikiliza mapitio ya magazeti, kuna gazeti moja limeandika eti Lowasa ni kama Zuma kwa maana kwamba ata bounce back na kuukwaa uraisi by 2015 kiulaani kama zuma alivyofanya South Africa.
Kwa mtazamo wangu, hili ni picha linaloendelea kwa ajili ya kumsafisha Lowasa...
Wakati wa zama za uongozi wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na kauli mbiu ya KILIMO NI UHAI ili kuhamasisha wananchi kukifanya kilimo kuwa ni sehemu ya maisha yao. Katika kufanikisha azma hii Ungozi wa Mwalimu uliandaa wataalam wa kilimo pamoja na kuwawezesha wananchi kwa kuwaandalia soko la mazao...
CCM KINGEKUWA CHAKULA NINGEACHA KULA NIFE !
CCM UNGEKUWA UGONJWA NISINGEKUBALI KUTIBIWA NIFE!
CCM UNGEKUWA MAVAZI NINGETEMBEA UCHI KULIKO KUKUVAA!
CCM UNGEKUWA UTAJIRI NINGEKUKANA NIWE MASIKINI!
CCM UNGEKUA UHURU NINGEKUKANA NIRUDI UTUMWANI !
Naamini matatizo ya watanzania na nchi yao...
CHAMA CHA DEMOKARASIA NA MAENDELEO (CHADEMA WILAYA YA GEITA)
OFISI YA WILAYA -CHADEMA
KALANGALALA- GEITA
Email: geita@chadema.or.tz Website: www.chadema.or.tzDate: 1st July, 2011
Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) Wilaya ya Geita kimetoa tamko kali juu ya mwenendo wa kauli na msimamo...
Wapendwa watanzania wenzangu napenda kuchukua fursa hii kuwajulisha ya kuwa, Chuo kikuu cha Dodoma kimempata Raisi ambaye ni jembe(chadema) kukiongoza tena kwa kipindi kingine cha mwaka mmoja. tunafahamu ccm ilitumia mamilioni ya shilingi kufanikisha lakini nguvu ya umma ime play part.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.