Kweli watu ni kama wapo kwenye mshangao, na hata yale mahosteli yatakuwa na watu wachache, na zinginhata wanafunzi watakuwa waoga au wanaweza fanyiwa kitu mbaya kirahisi zaidi
Wadau hawa watoto wote wamefeli mbona ni kama form five hali itakuwa mbaya zaidi, madarasa yatakuwa wazi, na kwa wale vilaza ndio itakuwa tabu mara tatu..nyie mnasemaje?
jf members hivi inakuwaje ndugu,marafiki ambao wanaonekana kwako na kwa unyenyekevu wa hali ya juu PINDI WANA SHIDA TU.SASA NAJIULIZA WAKATI WANAPESA ZAO INA MAANA WANAENDA KUENJOY NA WATU WAO WENGINE AU INAKUWEJE? USHAURI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.