Jay Moe zaidi. asilimia kubwa ya nyimbo zake zinapeleka ujumbe kwa jamii tena wa kueleweka kirahisi. angalia hata ngoma zake za siku za karibuni kama "pesa madafu" unaelewa kabisa anachosema hata ukiwa mzee.
Shamsi nafikiri bado ni mbunge wa jmt, Mukama miezi kadhaa nyuma nilimuona akihojiwa channel 10 nafikiri na Makwaia Wa Kuhenga.
Mkulo ndio sijamsikia kabisa. mwanasiasa mwingine aliyepotea kabisa ni Dr. Ibrahim Msabaha, sijui yuko wapi?
kuniambia uongo, aisee sipendi kabisa hii tabia. nikishakugundua ipo hatari ya mimi kupunguza ukaribu na wewe. tabia nyingine ni dharau na kupenda kutawala mazungumzo, yaani unakuta mtu mnapopiga story yeye tu ndo anapenda aongee, hii ni aina fulani ya dharau pia. uzuri mimi sipendi unafiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.