Je hao wanaojiuza hufanya mapenzi kwa hisia kweli? Wanawake ni viumbe wa ajabu sana anaweza akawa anakukataa kabisa anasema hata hakupendi ukiongeza bidii kidogo ukafanikiwa kuivua baasi anageuka kuwa mahaba niuee!
Kwa wazoefu na wataalam wa magari naombeni ushauri wenu. Sina uzoefu wowote kuhusu magari ila nahitaji kununua gari kwa ajili ya matumizi binafsi na nimepata muuzaji mmoja anataka niuzia Honda avancier.
Tafadhali mwenye uzoefu anipe dondoo.
Naungana na Mtimawazo "kuita mbegu za kiume uchafu ni tusi na dharau kubwa!". Inamaana binadam tunatokana na uchafu? You mean wanaume tunatembea tumebeba mauchafu? Dah hii sio kabisa labda nielekezwe vzr sababu ya kuita hivo?
Uki generalize kuwa wanawake ni mizigo maanake ni kwamba hata yule mzazi unaye mheshimu sana ni moja ya mizigo uisemayo!! Fikiri kabla ya kulipachika neno otherwise kila kundi lina mapungufu yake!
Kwani uliniita nije kufanya yenyewe hayo? Ha mi ctaki! Mkishamaliza mwanaume ndo wa kwanza kumuamsha oya we mda umeenda utachelewa home! Toka hapo yy ndo anaanza kktafuta dah ujana rahaa! Ila raha zaid vjjin maana misitu kibao wala hakuna kuangalia km pochi inaruhusu dah!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.