Ni vigumu kusajili company bila kua na mwanasheria,utaibiwa tu bure,hata hivo sio bei sana kusajili company,usijidanganye kua ukienda brela ndo utafanikisha kusajili on our personal capacity,mambo hayako hivo.
Labda ni sheria za kazi za clouds ndo zinaruhusu pombe,utaingiaje bungeni umelewa,na alisikia huyo waziri alivyokua anajibu,na kama anadai anatimiza kazi zake vizuri siku ile alitimiza vipi,that is gibberish.
Umekwisha pewa mkataba wa kazi tayari mkuu,maana usije kua unasema umeajiriwa na mkataba hauna,kama ushapewa mkataba tayari,wajibu wa kutoa kazi anaomwajiri,kuwe kuna kazi au hakuna unapaswa kulipa,kama watakunyima kazi wanapaswa kukulipa ,maana kwanza unakua usumbufu labda ndani ya huo muda...
Hakuna sheria inasema mwajiri lazima ampe mwajiriwa wake copy ya sheria ya kazi,ila ni lazima ampe mkataba ,ndani ya huo mkataba ndo kuna terms na conditions zilizome kwa hiyo sheria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.