Hapana, kila mtu na kazi yake na mgawanyo wake wa riziki, mimi kazi yangu ni kubangua na wengine kazi yao ni kurost kuweka kwenye ladha mbali mbalj n.k
Ukitaka vyote utakosa vyote
Nauza kwa jumla na ningependa mtu achukue zote, nzima nauza 13000 kwa kilo vibande tutaelewana. Bei zangu negotiable.
Ni korosho ambazo zimebanguliwa lakini hazijakaangwa
Acha ubutu wa mawazo, kwa hiyo wamarekani wakifanya upuuzi wewe una_support tu coz ni wamarekani. Mimi diamond namkubali sana mungu anajua na ningepata nafasi ya kumshauri ningemshauri. Na hapa nasikiliza "song zake"
​
Kipindi cha nyuma nilikua nadhani kila "superstar" ni "role model" hasa nilipokua nafuatilia sana habari za watu mbalimbali maarufu duniani.
Tanzania ukitaja Super Star huwezi kumwacha Diamond,
ni mwanamuziki mwenye mafanikio makubwa tena kwa muda mfupi, Big Up Bro!
Lakini mwenendo...
Siamini kama tutaambiwa ukweli kuhusu cash iliyotoka stanbic, kuna tetesi mzigo ulipelekwa maeneo ya kuleee "KIVUKONI"; na Kwa hali niliyoiona bungeni sijui kama tutaambiwa ukweli wowote. Sijui wadau mnalionaje hili
Mkitaka kujua ukweli kuhusu escrow ni mpaka muheshimiwa aondoke madarakani, for the current trend hatutoweza kuambiwa ukweli hata kidogo. Natamani kina tundulisu na mnyika wangekua 10 tu; mambo yangenyooka. Nimechoswa na wizi. Najipanga kupiga kura mwakani, naanza na hii 14/12/2014. CCM lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.