Hapa ni video clip mbili zikionesha ubaguzi wa wazi kabsa kwa wenzetu ngozi nyeusi.
NB: Mimi Sina dini maana dini tuliletewa tu.
♥️I love this becose we African are practicing other religions retuals. Christianity us not for us. Black man wake up.
Hii cm ni OPPO r9 plus huyu jamaa amezunguka kwa mafundi wote ila wapi wananshindwa kutatua tatizo cm inagoma kupeleka charge uki connect kwenye charge inaleta haya maneno. vip hii cm atupe tu au kunanamna ya kufanya hapa
Poleni na majukum wakuu, kama kichwa cha habari kinavo jieleza jana usiku nilipokea cm kutoka kwa mwanafunzi X wa chuo cha afya tabora kijulikanacho kama TABORA COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE,hiki chuo kipo katika hospital ya rufa ya mkoa wa tabora almaarufu kama kitete hospital wanatoa...
Ndugu zangu humu wazima? Natanguliza samahani. But nachohitaji ni ushauri.
Mimi ni kijana napitia changamoto katika mahusiano yangu kama mnavyojua mapenzi yanavyoumiza hasa pale mtu unayempenda akichokwa na tabia zako na akafanya maamuzi ya kuvunja uhusiano, na wakati bado unamuhitaji...
NYOTA wa Nkana FC ya Zambia, Walter Bwalya amejiunga na timu ya El Gouna FC ya nchini Misri.
Bwalya alikuwa anatajwa kuwindwa na Simba ili kuziba pengo la Emmanuel Okwi ambaye hajaongezewa mkataba ndani ya kikosi hicho ambacho kimeweka kambi nchini Afrika Kusini.
Amesaini kandarasi ya miaka...
BAADA ya klabu ya Simba kutinga kwenye Shirikisho la Soka la Mpira Afrika (CAF) wakihitaji kupewa mwongozo kwa nini wamebadilishiwa mwamuzi wa mchezo wao klabu ya Horoya AC kutoka Guinea wametuma malalamiko yao kwa shirikisho la soka CAF.
Horoya wametuma malalamiko yao wakimshtumu mwamuzi...
wakuu ninaomba ambaye anauelewa juu ya kozi ya [bachelor of arts in translation and interpretation] anijuze juu ya haya mambo yafuatayo hata kama sio yote kama unauelewa walau juu ya moja wapo mchango wako ni wamuhimu
kozi inahusisha lugha ngapi wakati wa kiusoma kwa hapa tanzania
aliyehitimu...
Natanguliza shukrani kwa mwenyez Mungu
Kisha kwenu wana jukwaa
Ninaomba msaada kwa mwanajukwaa wenye ufahamu juu ya hili jambo,
Nimechaguliwa chuo kikuu cha dodoma [bachelor of arts in translation and interpretation]
japo nia yangu ni kusoma kozi nyingine je inawezekana kubadilisha kozi? Na ni...
Natanguliza shukrani,
Wakuu kwa pamoja Naomba tufahamishane kozi nzuri za kusoma chuo kikuu kwa mwanafunzi aliyesoma masomo ya sanaa(arts)
Nikiwa namaanisha kwamba zile ambazo zimamuwezesha kujiajili au kupata ajira kwa wepesi na zinapewa kipaumbele hata kwenye mikopo
Natanguliza shukurani
wabongo bwana. kwakujifariji tuko vizuri!
eti unakuta mtu ana simu aina ya OKING
ukimuuliza simu yako ni aina gani
anakujibu! OKING X2 new model.
ilimradi umuone hana simu feki
Habari zenu wakuu.
Poleni na majukumu na mihangaiko ya maisha ya kila siku.
Nina mpenzi wangu ambaye tulianza mahusiano yetu tangu mwaka jana.
mara nyingi amekua akiniomba nizae nae (anizalie) lakini nimekuwa nikimkatalia. Kwani kwa sasa ninahitaji kujiimarisha kiuchumi kabla ya kuingia katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.