sioni kosa la huyo dada, alieua ni mtu mwingine kabisa tena baba mdogo wala sio babaake mzazi, me nadhani ni muda wa kusameheana kama familia ya kuanza maisha mapya, msimulie jinsi ilivyokuwa then yeye ataona anafaa kuwa upande gani!!
pole sanaa my dia, utakuwa sawa soon, kuwa bze na mambo mengine, pata muda mwingi wa kupumzika i mean lala mapema, maumivu kama haya huwa yanaisha pole pole kadri unavyompotezea mtu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.