Search results

  1. K

    Nimsaidiaje huyu mwenzangu?

    unakimbilia uzuri unajua ni kipusa kumbe ngiri poole
  2. K

    V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

    Kama ni hivyo sasa ni kazi ya arv mwilini
  3. K

    Wenye nyumba na kutolipa bili za umeme na maji

    ni kweli lakini naona haina haja ya kuanza kulumbana na mwenye nacho nyumba ziko nyingi bora kujiepusha na migogoro isiyo ya lazima
  4. K

    Kinachokuumiza ni mawazo yako mwenyewe

    nisaidie nifanyaje kuondokana na hali hiyo maana naona kama mungu kakutuma kwangu nipe namna ya kujinasua na hii hali
  5. K

    MWANZA: Mtu Mwingine auawa kwa kukatwa mapanga usiku Sengerema

    ukiwangali wapole saana watu wa mwanza unajiuliza haya mauaji wanayafanyaje mbona wana nyuso za kondoo saana wanaonekana wakarimu, au kuna wageni toka nchi jirani huja kufanya hili tukio?
  6. K

    MWANZA: Mtu Mwingine auawa kwa kukatwa mapanga usiku Sengerema

    visasi ni hatari saana usikute huko mtu akiumwa kansa na ukimwi watasemwa karogwa
  7. K

    Wenye nyumba na kutolipa bili za umeme na maji

    jamani kuna tabia imejitokeza sasa wenye nyumba wengi hawalipi bill za umeme yaani anachangisha hela kama chumba uwepo usiwepo utalazimika kulipia kwa mwezi, yaani unalipa kama mkataba wa nyumba. Pili ukiangalia mzunguko wa mwezi unakuta mpaka wote muishe yeye huwa hatoi hela maana tarehe moja...
  8. K

    MOROGORO: Polisi inawashikilia watu 11 kwa tuhuma za ubakaji na udhalilishaji wa mwanamke

    so sad kwa huyo hao watu washamba saana bado wanamawazo ya mitungo mpka sasa,
  9. K

    Chumvini kumesababisha maafa, msaada tafadhali

    duuu huu uzungu mpk tuoze midomo
  10. K

    Amjaza mimba mtoto wa dada yake

    jamaa nyoka wake nahisi akisimama hutoboa mpk suruari sio kwa nyege hizo
  11. K

    Mahakama zetu ni zaidi ya duka

    sasa unalalamika shilingi elfu mbili wakati wamekufanyia kinyume cha sheria na wanatakiwa wajibu kwa nini wamepoteza kodi kutoka kwa wananchi mhuri ni 20 wamekufanyia utu wee unawashtumu
  12. K

    Kwanini Kinondoni tu?

    wengine wanataka waonyeshe kwa vitendo sio kujitangaza kwenye media uzi wako unaoneka hauna mvuto kwa wengine
  13. K

    Ungekuwa wewe ungefanya nini kwa mwanamke huyu?

    pia wanaume tuwe makini na hizo bikira siku hizi nyingi za kununuliwa kigoma zinauzwa elfu mbili tuu na unatoa damu ni bora umkute tuu hana utakuwa na akili ya kwenda kupima pia huyo dada ni muuaji mbona kule wanakochukulia dawa wanakuwepo wanaume wengi tuu wanaoana lkn sio kuja kutaka kumponza...
  14. K

    Jiji la Mbeya a.k.a Green City laanza kuchipua upya

    kama ulikuwa na bajeti ndogo ulitegemea ukalale hoteli kubwa, mtu una elfu kumi kisa umeambiwa mbeya maisha rais ukajua na guest pia kuwa na hela utapata yenye hadhi, ukija na elfu kumi yako tena utapewa godoro la chawa ili useme vizuri
  15. K

    Waliotumbuliwa majipu na Rais ni waoga? Mbona hawafuati ushauri wa UKAWA?

    wamejiongeza maana unaweza kuchukuliwa na kaaakiba kakusomeshea watoto ukadhalilika lissu atakushauri ili mumsaidie kukikuza chama lkn maamuzi utayabeba peke yako ndo kwanza sembe robo itaadimika jumla lazima uwe na akili
  16. K

    Ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kumuoa binti yake wa kumzaa

    atakuwa na laana, ameanzaje mabinti walivyowengi siku hizi kama vile mchanga hata usipojua kutongoza simu tuu na mpesa ya elfu anakuja unaanza kumpa mikosi mtoto ya kutembea na baba yake, nyege gani hizo huyo hayuko vzuri
  17. K

    Expartlinkers interview

    nimejaribu kugoogle hilo kampuni kazi zake sizioni mi natoa ushauri kwa vyombo vyote vinavyorusha matangazo ya kazi kabla halija fanya hivyo lichunguze kwanza kama kuna kampuni kama hiyo au ni aina ya utapeli kuliko kusumbua watu, watangaze kitu chenye uhakika nacho sio otherwise
Back
Top Bottom