ukiwangali wapole saana watu wa mwanza unajiuliza haya mauaji wanayafanyaje mbona wana nyuso za kondoo saana wanaonekana wakarimu, au kuna wageni toka nchi jirani huja kufanya hili tukio?
jamani kuna tabia imejitokeza sasa wenye nyumba wengi hawalipi bill za umeme yaani anachangisha hela kama chumba uwepo usiwepo utalazimika kulipia kwa mwezi, yaani unalipa kama mkataba wa nyumba.
Pili ukiangalia mzunguko wa mwezi unakuta mpaka wote muishe yeye huwa hatoi hela maana tarehe moja...
sasa unalalamika shilingi elfu mbili wakati wamekufanyia kinyume cha sheria na wanatakiwa wajibu kwa nini wamepoteza kodi kutoka kwa wananchi mhuri ni 20 wamekufanyia utu wee unawashtumu
pia wanaume tuwe makini na hizo bikira siku hizi nyingi za kununuliwa kigoma zinauzwa elfu mbili tuu na unatoa damu ni bora umkute tuu hana utakuwa na akili ya kwenda kupima pia huyo dada ni muuaji mbona kule wanakochukulia dawa wanakuwepo wanaume wengi tuu wanaoana lkn sio kuja kutaka kumponza...
kama ulikuwa na bajeti ndogo ulitegemea ukalale hoteli kubwa, mtu una elfu kumi kisa umeambiwa mbeya maisha rais ukajua na guest pia kuwa na hela utapata yenye hadhi, ukija na elfu kumi yako tena utapewa godoro la chawa ili useme vizuri
wamejiongeza maana unaweza kuchukuliwa na kaaakiba kakusomeshea watoto ukadhalilika lissu atakushauri ili mumsaidie kukikuza chama lkn maamuzi utayabeba peke yako ndo kwanza sembe robo itaadimika jumla lazima uwe na akili
atakuwa na laana, ameanzaje mabinti walivyowengi siku hizi kama vile mchanga hata usipojua kutongoza simu tuu na mpesa ya elfu anakuja unaanza kumpa mikosi mtoto ya kutembea na baba yake, nyege gani hizo huyo hayuko vzuri
nimejaribu kugoogle hilo kampuni kazi zake sizioni mi natoa ushauri kwa vyombo vyote vinavyorusha matangazo ya kazi kabla halija fanya hivyo lichunguze kwanza kama kuna kampuni kama hiyo au ni aina ya utapeli kuliko kusumbua watu, watangaze kitu chenye uhakika nacho sio otherwise
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.