Mechi ya leo ilikua na maswali mengi sana ya kuuliza hasa mbinu za mchezo. Kuna mahali tunakwama, angalia hata mechi zetu hizi za ligi kuu huwa hawaulizi maswali mazuri
Kama mradi wa mwendokasi umetushinda basi hakuna mradi tunaweza kuuendesha. Mwendokasi ni sawa na mfanyabiashara mwenye monopoly ya soko
1- njia ni yako, yanapita mabasi yako pekee.
2- Abiria wapo tuu wanakusubiri wewe ulete mabasi.
Unahitaji nini zaidi ya hiki lakini bado unapata hasara...
Miaka yote huwa wanasumbua sana, hela ikiingia kwenye account ya chuo kuitoa ni kazi. Hapo ungekua unakaa hostel then wanakukata kwenye hiyo ada. Pia direct charges za chuo hulipi, inakatwa hukohuko. Mngemalizana kirahisi
Ada inayolipwa na bodi haiingii kwenye account ya mwanafunzi. Ada inaingia kwenye account ya chuo, mwanafunzi anasaini tuu. Hivyo Chuo kimechukua Ada mara 2 kwa mwanafunzi mmoja.
Ni mimi ndio sielewi au? Gsm wanazipa hizo timu pesa kutangaza biashara yao na sio kununua timu. So mkataba sio baina ya TFF na GSM bali ni GSM na hizo timu. ni sawa na kuwauliza TFF mkataba wa Simba na Mbet, utakua ujuha.
Udhamini uliokataliwa ni ule wa timu zote za ligi kuu kuweka nembo ya...
Kama nchi hiki ndio chuo chetu tegemeo, hata sisi ambao hatujasoma hapo lakini kinatuangusha sana. Kinazidi kuporomoka tuu. Hakina tofauti na vyuo vilivyoanzishwa miaka ya 2000. Research ni kitu muhimu kwenye ranking, vyuo vyetu vinafeli sana hapo.
Vyuo vyetu vingi website inakua sawa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.