Vodacom mijizi toka longi.. Ukipiga customer care kuna videmu vinacheka cheka tu.. Sijui wanaviokotaga wapi? Usithubutu kulala na salio la voda ukiamka asubuhi wamekulamba lotee
wengine hatujui kabisa mambo ya kubeti,na vyuma vimeumana balaa! mnapotuwekea ubashiri wenu hamjui tu mnakuwa mmetupiga tafu sana tena sana,sasa ukiweka matokeo yanakuwa yanasaidia nini
hawezi kutoka chadema,,chadema ni chama cha baba mkwe ,,kampa mbowe ili akilinde! hiyo ni chaga development management.hata wakiweka kabila jengine kwenye cheo cha juu utabakia kama picha tu! maamuzi yote yatatolewa na mbowe na mke wake ambaye ni mtoto wa mtei! ukitaka kujua kijana kama amekomaa...
ahahahaaa! umenikumbusha kuna binti mmoja anasoma chuo huko dar! tukaunga urafiki ...siku akanipigia simu anaomba laki 3 aongezee ada kwani baada ya siku mbili wanaanza mithihani,so bila hivo hawezi fanya mitihani.. nikamwambia niko njani nadrive nakwenda mby baba yangu mzazi kafariki! so siko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.