Adam Mihayo, kijana cool tangu alipokuwa kuwa seminari mdogo ya Mt. PETRO MOROGORO (kichwani yupo vizuri kwa maana, Academically kuanzia 0 level alipasua hasa, kadhalika na A - level alipasua fresh likewise), pia hana makando kando ya kutisha, nadhani ni Chaguo/teuzi sahihi na ataenda kufanya...
Mipira yetu, kivyetu vyetu...bora yeshe yakhe,
Uzuri wetu ambao tunagundua makosa ni wale ambao tunapata wasaa wa kuangalia marudio, ila trust me kwa uono wa refa ambaye anakuwa uwanjani + presha ya mchezo ni ngumu sana kuwa [emoji817] perfect katika kufanya maamuzi.
All in all, wengi wao...
Ndugu, nadhani siku nyingine ukiwa unaandika upende kushirikisha ubongo maana sidhani narudia sidhani kama AUCHO ni chizi aamue kumpiga kiwiko mchezaji mwenzake...
Anza kuongelea kitendo alichofanya AJIBUU then ndio tujadili tendo la Mchezaji wa Pili.
Nb. SIPENDI UGOMVI MICHEZONI, INAPENDEZA...
Mtumishi, hivi unajua ile ilikuwa ni DERBY !! na unajua maana halisi ya neno DERBY !? Nadhani ukitambua fresh usingeandika hicho hapo juu tena unaweka na tupicha ili kujifurahisha na nafsi yako.
Cha muhimu ambacho refa alijitahidi kukifuata...
1.Soft fouls alikuwa makini nazo mno - kumbuka hizi...
Umenena vyema Genta...
Cha kukumbuka pia...
1. Simba alifanikiwa mfunga Yanga magoli mengi (6 na 5) yeye akiwa mwenyeji/nyumbani.
- Yanga kamfunga goli 5 Simba akiwa ugenini.
2. Hadi tarehe 05 Nov 2023 ni timu ya Simba pekee ndio ilikuwa haijapoteza mchezo wowote ila Yanga akamfunga na...
...huyu jamaa ananikosha sana na accent (lafudhi) yake anapojibu maswali ya waandishi wa habari, ananivunja mbavu zaidi akiskia swali na akiwa analiweka sawa ...he is super Gamondi 👌
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.