Habarini ndugu zangu,
Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.
Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.
Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya...
Mbwana Samatta amekulia katika viunga vya Mbagala huko ndiko kuliko mtambulishan katika uga wa kandanda. Historia ya huyu mchezaji haikuwa rahisi kutoboa hadi kufikia hapo alipofikia. Kuna kipindi alikuwa anakosa hata sh. 200 ya nauli ya kumpeleka mazoezi. Waliokuwa karibu yake walimsaidia pesa...
Is it the bodyguards around you?
Is it the high walls where you live?
Or is it the men with the gun around you
Twenty four hours a day
That make you ignore the crying of the people?
Farmers get killed everyday
And you say: "It is not that bad"
Policement get killed everyday
And you say: "It is...
Wakuu habari ya mchana?
Nimechoka kutembea kwa miguu, nataka nikavute gari yadi leo.
Ni yadi gani ya kuaminika hapa Dar achana na zile yadi kwa kutuuzia magari ambayo wameyatoa Zanzibar.
Wakuu habari za Jumapili!?
Kuna kahela nimepata kidogo nataka kuagiza gari. Baada ya kufikiria kwa muda mrefu nimetamani gari mbili tu; Subaru Forester au Honda Crossroad.
Wataalam wa magari nichukue lipi hapa? Ushauri wenu wa maana sana kwangu.
Asanteni.
Intro:
Yeah, Biiizy Babloon/
Herry Samir, Mr. Blue (waelezeeee)
Aaahhh Nimetoka Mbaaaaali Mbaliiii mbali mbali ( waelezeeee, waambie ukweli)
What's up!! What's up!! Sayi Records (Records),
Lazima tusherekee kwa kile kilichofanyika au sioooooo.....
Let's Gooooo!!!
Verse 1
Nshatembea kwa miguu...
Verse 01:
Kipyenga kimelia Mambo Magumu/
Mithili ya Sumu/
Uchungu na maumivu ambayo huwezi kuvumilia/
Kaa tulia/
Futa machozi msela inatusumbua hela/
Hatuna hata kitu kidogo Cha kupeleka tumboni/
Shida zimejaa, kidogo ulichonacho, lakini bado wanatoa macho/
Lakini kwa masela, mbele kwa mbele...
Nimewahi kumuuliza mwandishi na mchambuzi mmoja maarufu, kwanini makocha wengi wa Tanzania hawafundishi soka nje ya nchi, jibu nililopata sikuridhika nalo sana. Alinijibu kuwa ligi yetu imekua sana na ni ligi bora afrika mashariki na kati hivyo makocha wetu wanaona bora wabaki hapahapa nchini...
Idon't wanna wait in vain for your love
I don't wanna wait in vain for your love
From the very first time I placed my eyes on you, girl
My heart says follow through
But I know, now, that I'm way down on your line
But the waitin' feel is fine
So don't treat me like a puppet on a string
'Cause I...
Kuna swali najiuliza, hivi team ikisajili mchezaji na kabla ya deadline huyo mchezaji huyu akawa mgonjwa, inamaana hairuhusiwi tena kusajili mchezaji mwingine kabla ya hiyo deadline?
Kama ni ndio basi kuna mahala kanuni zetu hazipo vizuri.
Sipo hapa kusema nani yupo sahihi nan ani hayupo...
Hii imekaa vipi wakuu!?
Kuna dada mmoja hivi, nilionana nae kazini kwangu miaka hiyo, 2018 wakati nipo Dar Es Salaam kipindi hicho.
Tukazoeana Sana. Chating kwa wingi mno. Nikaanza kumpenda Ila kila nikimtongoza ananitolea nje, anasema yeye ana mtu tayari.
Sasa mwaka 2020 nikahamia Dodoma...
Ridhiki haiji yenyewe hata ukilala mlango wazi/
Maisha Bora yanajengwa na juhudi yako ya kazi/
Kazi sio kushuka, kazi ni kupanda ngazi/
Ukipotea,umepotea hata ukikesha unavunja Nazi/
Haishangazi, hizi ni zama za uwazi/
Umeamua kukaa uchi usiogope mapaparazi/
Music haumtupi mwana kama mbeleko ya...
Habari Wakuu,
Nimesafiri Mbeya kikazi, Nina uchovu wa safari manake nimesafiri na private car.
Hivi hapa Mbeya kuna sehemu naweza pata huduma ya massage yaani ile hot massage na mabinti warembo wenye kujua kazi yao...
Nitashukuru kama nitapatiwa na Bei zake..
Ahsanteni Sana
Verse 01: JayMo
Mwenyezi nihurumie kiumbe Chako/
Mbele nitafikaje bila mwelekeo wako/
Kwenye Giza siwezi ona bila mwangaza wako/
Mja wako Niko chini ya miguu yako/
Naomba uninusuru na haya majanga ya dunia/
Maana kila kwenye kumi napata tisa na wanalia/
Nadata, sababu tu sio ya ugumu wa maisha/...
Kimbia, Polisi maskani wakivamia
Wakikudandia, hakika hawatakuachia
Wakukute umetulia, au kipisi unamalizia
Au labda kuna mchizi tu ulikuja kumuulizia
Wanapoingia, nakushauri kimbia
Wakikudandia, ujue watakuharibia
Na kama huna mshiko, kukuacha ni ndoto
Watakupa kesi ya kukudaka na gunia la...
Haueleweki hata uki-shine kwa punchlines on Facebook/
Haiwi-fine ka' Rayvan, we' fake tu/
Sikuoni B.E.T au MTV wak-play tunes/
Miaka nenda we' msanii, MC una play tu/
Makida, we' sio king kama Kiba/
Sio Yao Ming kwenye ring/
Mistari mingi zaidi ya zebra? (Zaidi ya zebra!)
Unazingua nigga...
CHORUS:
hii ni kwa wote mademu watafutaji,
hii ni kwa wote mademu watafutaji,
zidisha nguvu kwenye kazi, watafutaji,
sasa nasema nao nyie, watafutaji,
zidisha nguvu kwenye kazi, watafutaji.
sasa nasema naooooo
VERSE 01:
unavutia si kicheche halafu unanukia kinoma/
unahangaikia maisha yako...
VERSE 01;
kimo cha hekima za ndugu sasa ni dhaifu,
imani zao chache na wamekosa uaminifu,
wako radhi kuua ndugu na kumdhulumu mkufu,
au kama si kumuua basi watamuacha na upofu,
wakati tafsiri wa hali hii ni upotofu,
nikiwa kama mkiwa ndani ya dimbwi la matatizo,
maana yake nimefiwa na haki...
Hawapigi tena track redioni,
Na hata kwenye TV haunioni,
Na jina haliendi chini,
Najua unashangaa hata mimi sijui kwanini,
Je ungenipenda Kama nisingekuwa Staa!?
Kwasababu sio handsome wanasema ungekataa,
Mimi ni msanii na ndio maisha nayoishi,
Sometimes sina kitu Ila nakua mbishi,
Nikipita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.