Heri yenu mlioko mjini. Huku vijijini jamani polisi anaogopwa kuliko mtu yeyote, (including J.K). Polisi wamefikia hatua ya kuwakamata waendesha pikipiki na kuwapekuwa mifukoni kwa nguvu ili mradi wapate hela. Serikali imeelekea I.C.U? Jamani, natamani ningejua kuroga nikawafanyizia hawa polisi.
Tupo ktk mkutano wa wakuu wa shule za sekondari Tanzania, Arusha. Umeme umekatika, waziri mkuchika amesimama dakika 10 jukwaani akisubiri umeme. Wamewasha generata sasa anaendelea. Amesema "umeme umenipa fursa ya kufanya zoezi la kusema". Nawasilisha.
Nimefanya ka mini-research barabarani nikasafiri kutoka ngara kupitia kahama, nzega, singida hadi Arusha. Katika vituo vyingi vya polisi (about 75%)ya vyote, dreva na kondakta mmojawapo anatoka nje kwenda nyuma ya gari kumrekebishia trafiki au polisi. Mwisho wa safari nilimuuliza ameachia ngapi...
Tusidanganyanye wakuu. Ni lazima pia tupime tuone uhusiano uliopo kati ya cost of investment na benefit (COST- BENEFIT ANALYISIS). Jamaa kagharimika muda na pesa kibao kuitafuta hiyo degree, then saa hz analipwa hela ambayo kwa mwaka ni sawa na ada aliyokuwa analipa chuoni(kumbuka loan board...
Wabunge wetu wamegutuka kufirisika kwa tanganyika ya leo, wakaona wale chao mapema. Wamegundua katiba mpya itawamwaga wengi (2015). Tukta mnapiga kelele wakati na nyie serikali imewapa ofisi?. We ulisha sikia majaji, wanajeshi na mahakimu wakilia lia? Bora mteja akamuliwe damu ili mkono...
Ni flash disk (G:) ya 4 GB. Files na folder chache zilizomo (saved documents) zinafunguka, nyingine nyingi hazifunguki. However, huwezi ku delete chochote, huwezi kuiformat, haipokei faili lolote. Response ktk hayo ni ...this disk is write protected. Haina kale ka batton ka pembeni ka...
Dr. Chichi, dah! Kumbe mapenzi ya watoto wadogo hayana cha huyu ni dada au shangazi?. Usinikumbushe, najua hata dada zangu wanaikumbuka hiyo michezo ya kujificha na kupeana zawadi.
Ulianza lini kupenda? Mi la tano nilimwandikia barua msichana nikamwambia ntampenda mpaka ziwa victoria likauke. Akanipeleka kwa ticha (akampa na hiyo barua). Kila mwalimu aliyekuwa anasoma hiyo letter ananicheka sana mpaka naona aibu. Kisha ticha akanichalaza fito kama 50. Ni miaka 20...
Kwa bahati mbaya hatukubahatika kuoana, alienda kusomea mbali akapitia huko huko akaolewa. Nami muda ulipofika nikaoa. Kila ninapomfikiria au kumwona nahisi mshtuko. Ana watoto 3, nina 2. Mke wangu hatuna tatizo. Hii roho niifunge vipi imsahau huyu mke wa mtu? Hii kitu...hii
Wadau wa elimu natumaini mko sawa. Mwenzenu niko ktk field ya elimu. Najaribu kujiendeleza kwa njia ya masafa. Nasoma M. Ed (Adm, Planning & policy Studies- open university) Material ya 'education policy, education planning, educational administration, economics of edn, na mengine yanayohusu...
Don't tell me. Hawa jamaa bora wangekuwa wanakukamata na kukutoza faini halali. Wao ni rushwa wazi wazi. Ukienda takukuru ndo walishatangulia. Utajikuta kwenye kesi eti we mzushi. Nchi hii!
Sina la kuwalaumu wasomi wa tanzania, ila hamsaidii kuiletea maendeleo nchi yetu. Hivi wana jf mnajua kuwa sifa ya kuwa mwl mkuu ni diploma, au kuwa mkuu wa shule ni degree 1 au zaidi? Lkn mratibu elm kata ni bosi regardless elm yake ya ualm daraja la 3.
Wana jf mnaamini wakurugenzi wa halmshr...
Laptop yangu inafunguka kama kawaida. Ikifikia wakati fulani, keyboard inaji lock. Mouse haifanyi kazi, pointer ina simama, It means siwezi endelea na kazi yoyote mpaka kuboot. Nimefuta almost doc zote ikawa na free space kwenye HD bado inasumbua! Mbaya niki boot unsaved doc zote zinapotea...
Mpeleke dogo akasome OUT, Wenzio tulimalizia hapo na tukiwa kazini performance yetu iko juu sana, maana miaka yote anayosoma out vile vile ni kama anakuwa field akifanya research na ku-solve matatzo in real life situation. Dogo akasome Out bwana!
Hakusahaulikwa kwani ndiye aliyetoa ahadi nyingi za ukwel kuliko kiongozi yeyote aliyepita, aliwashawishi akina female kuwa ni handsome wakampa kura za ndiyo, aliwakemea washikaji zake wasitumie nafasi zao au ushikaji kufisadi, alichora ramani ya dunia kwa kuizunguka kuliko hata international...
Nimeongea na baba wa taifa ktk ndoto. Anasema miaka 50 ya uhuru kuna vijimambo Tanzania tumevifanikisha kama vile kuchagua maraisi kwa wakati muafaka, kujenga vijisekondari vya kata(vya mkapa), kupambana na malaria, nk. Lakn anasikitishwa na haya: mwananchi maskini bado anatawaliwa na tajiri...
Fikiri kidogo hali itakuwaje bungeni pale mbowe atakapoanza kubomoka mipango ya wapinzani. Hapo lisu akijiandaa kumwambia makinda kwa mjibu wa kanuni za bunge, kifungu namba....kinga ya kutodhalilishwa mbunge... Hapo kabwe hajasimulia alichokiona kariakoo. Ebu fikiria Godbless lema atakapoomba...
Sometimes u can keep silent my dear friend. It is wise to deeply think b4 u post a topic here. Kumbuka wapo great thinkers ambao tuko neural ktk political afairs. Tuna mzani tunapima fair treatment ya polisi wetu. Kimsingi mnyonge mbele ya polisi hana attention sawa na tajiri.Nenda mahabusu km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.