Habari za mda huu wana JF,
Bila kupoteza mda twende moja kwa moja kwenye mada.
Fikiri kwamba wew mwanaume umeoa na unajijua kuwa huna uwezo wa kuzalisha na hujamwambia siri hiyo mkeo..
Ndoa inakosa amani kabsa kwa mwanamke kudai mtoto kila siku na huku wewe ukiwa hutaki hata kushiriki tendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.