Je wewe ni kijana mwenye kipaji na uwezo wa kutengeneza systems mbalimbali za kielektroniki kwa ubora wa hali ya juu?
Karibu ujiunge nasi GSTAR SERVICES ili tuweze kuunganisha mawazo na kutengeneza mfumo kwa malengo ya kibiashara, kama unakumbana na changamoto za kimfumo na kimtandao...
Habari sisi ni kampuni tuliobobea kwenye utengenezaji wa Computer, na kutoa huduma za ki ICT kwa bei rafiki. Karibu tukuhudumie huduma zetu zipo kwenye hiki kipeperushi chetu. Karibu tukuhudumie.
Habari GStar publishers ni kampuni inayojihusisha na uchapaji wa vitabu, mabango, brochures na business cards kwa bei nafuu. Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Jangwani au tupigie kwa simu. 0719682352.
Unapata kazi kwa uharaka na kwaubora wa hali ya juu, vitabu tunaprinti kuanzia kopi 10 na...
Habari zenu, mimi ni mwandishi wa vitabu, natafuta mtafsiri wa vitabu vyangu kutoka Kiswahili kwenda lugha ya Kiingereza, malipo kwa makubaliano maalum.
Nicheki PM kwa mawasiliano zaidi.
Kwanini unataka ku code from the scratch, ukitaka website kwa kutumia theme kama joomla ama wordpress nicheki pm, website ni nzuri na high quality ina back end pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.