Search results

  1. ksny

    Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

    Mataragio siyo Msukuma bali Mongoreme (kabila jamii ya Wakurya)
  2. ksny

    Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

    Hebu tuambie "ni nini hakufanya". Na wewe hapo ulipo tuambie umefanya nini zaidi ya kukosoa wengine!
  3. ksny

    Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

    Uliwahi kuusikia msemo "una bahati kama mtende"? Huyu Bwana ni Mtende (Watende kwa kawaida ni watu wa Mara yakijumuishwa makabila ya Wakurya, Waikizu, Wazanaki, Wangoreme, Wanatta, Waisenye, Waikoma....) Basi hii ndiyo aliyonayo bahati huyu Mtende (Mongoreme).
  4. ksny

    Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

    Dr. Mataragio ame"survive" TPDC kwa bahati, kwa vile alipoenda pale waliyokuwepo walimwekea chuki, kwa nini atoke mtu nje wakati wao wapo. Hii ilifanya asukiwe kesi, alipopona na kurudishwa alioondolewa na mama kwa siku mbili na nafasi yake akapewa kada wa CCM alieduma siku moja kazini na...
  5. ksny

    Makonda naye ametumwa na Rais Samia?

    Kuhusu kumtukana mama ukweli upo. Makonda na Lema wanachofanya ni kuwajulisha wahusika kuwa wanajulikana na waache ama sivyo watajuta, maana kuna uwezekano majina yao yakakatwa na huo utakuwa mwisho wao.
  6. ksny

    Makonda naye ametumwa na Rais Samia?

    Haya yote yanatokana na utoto na kujipendekza mawaziri wetu. Mawaziri wengi wamepata uwaziri kupitia njia za panya, yaani kubebwa na majina ya ndugu zao na siyo uwezo wao. Mawaziri kana Nnape au au Makamba (January) wamepata nafasi kwa majina ya baba zao. Mara nyingi wanafikiria wapo juu ya...
  7. ksny

    Kulea watoto na kuwa Mama wa nyumbani hakukupi Haki ya kugawana mali na mumeo pale mnapotalakiana

    Hii inategemea. Kwangu mimi kugawana mali inabidi kila mtu awe na haki, ila jua kuwa mara nyingi ndoa za vijijini mara nyingi huwa hakuna cha kugawana. Nyumba ya nyasi mtagawana nini? Ardhi huwezi kumgawia mwanamke maana ni ya ukoo na amekuja akaikuta.
  8. ksny

    Je, ni wanawake wa makabila gani hapa Tanzania wakiolewa hawajihesabii kuwa sehemu ya kudumu ya ukoo na familia ya Mume?

    Wanawake toka matrilineal au wanaofuata ukoo wa mama ndiyo hawajihesabu kama sehemu ya familia ya mume. Haya makabila ni mengi TZ, ila sasa hivi naona hawafuati tena huu utamaduni. Ili huu utamaduni kudumu ni lazima waone wao kwa wao, wakitoka nje tu, wanafuata mila ya mme.
  9. ksny

    Sikuwa najua kama Tanzania ina kabila la Wahima, Karagwe Kagera!

    Mwami Ntale alitawala Rwanda, Karagwe, na Buha (Kasulu/Kibondo).
  10. ksny

    Makabila yenye wanawake waliokosa uvumilivu kwenye ndoa

    Machame ndiyo makao makuu ya Islamia Uchaggani!
  11. ksny

    Baadhi ya Wanajeshi wa JWTZ wana tatizo la nidhamu?

    Kwa kawaida jeshi lolote siyo chombo cha kukenua meno na kucheka ovyo. Hii ni kweli kwa majeshi yote (JW, TP, JKT, TZ Prisons) na majeshi ya nchi zote. Kwa wale waliyopitia JKT mtakumbuka uhusiano wenu na raia ilipo JKT. Wanajeshi wanapenda kusaidiana maana kila mmoja amefundishwa kumtegemea...
  12. ksny

    Manara apinga Wachambuzi kupewa Mafunzo

    Kama watu wanasomea michezo, kwa nini wasisomee uchambuzi wa michezo au mchezo. Uchambuzi siyo kitu anaweza kila mtu. Hata wanaoweza wanatakiwa kunolewa, ili waangalie vigezo vya kuchambulia. Nchi nyingi wachambuzi wa michezo huwa ni wachezaji wastaafu katika mchezo. Hata hao wanamichezo...
  13. ksny

    Rais Samia hapaswi kugombea 2025 akigombea tumkatae

    Mbona hueleweki! Yaani 2025 hana vigezo vya kugombea lakini unasema 2030 anaweza kugombea. Tafuta sababu za ukweli tofauti na chuki binafsi.
  14. ksny

    Poleni sana jobless, ila na sisi ndugu zenu wa halmashauri hali ni mbaya

    Wewe unaingia kazini saa mbili hadi saa kumi au kumi na moja, muda wa kazi ya ziada/biashara utaupata wapi? Labda utafute/ukope mtaji utafute atakaye simamia mradi. Swali langu jingine, je kila mtu mfanyakazi akiingia kwenye biashara wanunuzi ni wake na nani. Ndiyo maana hadi sasakuna wachache...
  15. ksny

    Poleni sana jobless, ila na sisi ndugu zenu wa halmashauri hali ni mbaya

    Mtu anapoajiriwa sehemu fulani anakuwa amejitoa kufanya kazi na nguvu na muda wake vinaelekezwa kwenye kazi. Mategemeo ni kuwa atapata kipato cha kutosha kuendesha maisha yake yaani kipato kinachotosha kwenye "basic needs zake" kwa ngazi yake. Lakini mara nyingi mambo hayako hivyo hasa katika...
  16. ksny

    Poleni sana jobless, ila na sisi ndugu zenu wa halmashauri hali ni mbaya

    Utaongezaje experience wakati mtu hanayo? Ina maana utaweka uongo kwenye CV. Kama ni kunyoosha au format hizo zinapatikana online tena bure! Just google and you get CV foumarts free!
  17. ksny

    Nilinunua pagala Mbeya 2017 kwa shilingi 3.5M, haliuziki hadi leo

    Kijijini kwetu bei ya chumba in 20k, fremuya biashara 30-40k na hapo km 80 toka Musoma mjini, yaani jijini unashindwa kupata mpangaji...au masindiko ya Kikinga yako kazini.
  18. ksny

    Nimeshtushwa na taarifa kwamba ACT Wazalendo wameungana na CCM kupinga maandamano ya CHADEMA

    Mikakati sahihi maana yake nini.Ina maana mikakati sahihi ni ile ya ya CHADEMA. Kila chama cha siasa kina uhuru wa kisiasa na siyolazima kikubaliane na CHADEMA. Tatizo la CHADEMA ni kujivisha taji la chama kikuu cha upinzani na kuamini hivyo, na kwa mantiki hiyokudhania vyama vyote vya upinzani...
Back
Top Bottom