Uko sahihi mkuu .
Mi Simba lakini Yanga wako serious kuwekeza kwenye pitch . Imagine unaleta wachezaji wa kigeni wa kuja kukaa benchi .
Halafu wamekuwa na propaganda utafikiri wanasiasa . Wahuni wanaovaa suti wanatuharibia timu .
For sure what you have wrote is somehow practical to western world but almost impossible on third world though there are some good truth .
Practicalities of relationship will also remain mysterious .
Mkuu umeandika mambo mengi mazuri lakini hujajibu hoja ya jamaa kwamba kimsingi je hiyo 2b ambayo si haba anaitoa kama mwanachama au shabiki wa kawaida au kama mwekezaji ? Nafikiri hoja iko hapo . Kwamba , kama anatoa 2b kuonesha mfano kwa wanachama , wapenzi , mashabiki na wadau wa soka...
Kuna kitu hapa . Ngoja niendelee kutumia akili yangu ipasavyo kabla sijafikia hitimisho . Asante mkuu . Mimi ni Simba damu lakini kuna HOJA kwenye bandiko lako . Credit kwako .
Roho imekuuma maana wewe ni kuku wa broiler . Enzi hizo dunia haijawa kjiji , tv ilikuwa kwa Ñyerere tu . Wewe unaongea mambo ya Ulaya . Kipindi hicho nani angekuruhusu uende ulaya hovyo ? Wakati huo Ulaya kwenyewe walikuwa na wanaume wa shoka , sio hawa wa kizazi chenu cha kujipodoa na...
Uko sahihi .
Nilichogundua watanzania wengi wanashabikia mpira hawajui mpira na hawaamini kwenye utaalam .
Tunapaswa kujua yafuatayo :-
1 . Mchezaji yeyote anapikuwa mpya kwenye timu anapaswa kupewa muda kuzoea mazingira na mfumo wa timu aliyohamia . Kibu ana kipaji cha soka na anajua mpira ...
Chikwende ana tatizo gani ?
Huyo jamaa hajapewa tu nafasi ya kutosha lakini anajua sana na umri wake ni mzuri . Kuwa na subira atakufunga mdomo muda siyo mrefu .
Mtoa mada umedhihirisha ujinga na ushamba wako . Bora ungeuliza kwanza watu wakueleweshe .
Kim wa Korea Kaskazini alimkaribisha Rodman mchezaji wa kikapu wa NBA .
Hapo Mh.Mwinyi anaua ndege wengi kwa jiwe moja . Tunatangaza utalii , tunahamasisha michezo , tunaitangaza Zanzibar na Tz , tunajenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.