unajua makonda ndo lugha zao za siku zote tumewazoea, so hata wakipata elimu awawezi kubadilika kwani nao wako kazini wanahitaji kujaza abiria wengi ili waweze kupata kipato
unajua tumeumbwa na aibu haswa kwa wanawake hata wanaume baadhi, so ni rahisi kuongea na mtu through msg kuliko face to face, ukiandika unatoa dukuduku lote kuliko ukiongea nae uso kwa uso unamficha mengine huwezi kumwambia
mara nyingi unamsaidia mtu lakini na wewe mwenyewe unahitaji msaada , na mara nyingi tunatumia neno NAKUPENDA, SAMAHANI WAKATI HALITOKI MOYONI, Tunakosea sana inabidi tujirekebishe,
tofauti na wenzetu watu weupe wakisema I LOVE YOU, ni kutoka moyoni
Kuolewa kwa mwanamke wa kitanzania ni heshima, me bado sijaolewa ila nawashauri wasichana wenzangu muolewe na mume bora si bora mume, usitafute pesa tafuta mapenzi ya kweli, thanx
mapenzi ya kweli ndo muhimu katika maisha, aijalishi ana pesa au hana cha muhimu ni kupendana kwa dhati , Fuata moyo unapokuelekeza usifwata mawazo ya mtu mwingine, unaweza ukafwata pesa , zikiisha je? utaondoka au? hahaha, thanx
Kweli kila afanyacho mwanaume mbele kuna mwanamke, kiwe kizuri kibaya mkatae mkubali, na mara nyingi washauri wa mwanaume ni mwanamke so inabidi mliangalie hili kwa makini wandugu, thanx
mmm ni ngumu kumwonea huruma mama wa ndoa bali tunamwombea tu mungu amfariji azidi kumpa nguvu na uvumilivu kwani mumewe ndo tabia yake maana kapata wa kiume mmoja nadhani anatafuta kwengine mwingine na huko ndo atatolewa shingo.
ila inabidi na sisi wanawake tuwe makini tunapenda pesa na tamaa ndo zinazotusababishia yote hayo so we unajua huyu ni mume wa mtu na unaamua kuzaa nae, inabidi muwe na CONTRACT, nadhan itasaidia hata baadae yakitokea maafa. Pole dada mwenzangu kwa yaliyokusibu
asikudanganye mtu hyu baba ni muuaji kabisaaaaaaaaaaa yani mtoto mdogo hvyo anampeleka wapi tena wababa wenyewe siku hizi awaaminiki wanabaka hata watoto wao , mwehu kweli i wish nione mwisho wake me ningemng'ata pua ili awe na kumbukumbu vizuri.
thanx
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.