Ni kweli anayoyafanya ni tofauti na kazi yake hata hivyo sidhani kama alikuwa anataka kula hilo tunda, hapo pembeni mkono wetu wa kulia kuna mtoto ambae nadhani ameomba asaidiwe kuangua hayo matunda.
Kuna tafiti nyingine zilisema kwa kawaida mtu hujamba mara nyingi kwa siku hata kufikia mara 20 bila kujijua au kutoa harufu mbaya. Kwa hiyo hizo mara 3 ni zile unazojamba wakati unajitambua.
Wanasema kunauwezekano wa kujamba bila kujijua:-
-Wakati tumbo linapounguruma
-Wakati unapocheka
-Wakati...
Figuratively speaking ?
This message
serves to prove
how our minds can
do amazing things !
Impessive things !
In the beginning
it was hard but
now,on this line
your mind is
reading it
automatically
without even
thinking about it,
be proud ! Only
certain people can
read this.
Please forward if...
Juzi kuna nyumba imeungua Tabata Kimanga- D'salaam, baada ya moto kuzimika wenyewe ndipo Jeshi la zima moto walifika. Nyumba iliteketea hakuna kilichobakia !.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.