Njaaa, wasomi wengi ni njaaa. Wanafikiri ukiongea kwa kuunga mkono upande fulani utatatafutwa upewe mshiko. Hizi njaa za wasomi hasa waalimu wa vyuo vikuu ni kali sana. Kufundisha darasani ni tofauti na ku practice mtaani. Hivyo bora wabaki huko huko darasani kwao.
Kama hawaelewi namanisha nini...
Alitudhulumu katiba yetu na kuitafisha tusikojua. Hizo ma atataifisha azifanye zake. Hana uwezo wa kusimamia maamuzi yake binafsi. Atawezaje kuamua makubwa ya Taifa hili. Bunge la katiba alitufunza mengi sana. Kama anatumia busara hata ubunge asigombee tena kwani alitenda dhuluma kubwa sana ktk...
Dah. Bull shit. Mwanamke mwenye malengo ya kuolewa kuchepuka ni aibu.
Hii ni kesi anakuletea. Sasa akichepuka the ukakasirika ukamuua atasemaje? Anakufa afu anaenda kusema umemuonea. Shit
Sio kila mtu anaelewa maana ya KATIBA. wengine wanafikiri labda ni kitabu cha shule km vingine. Hivyo mtu km MAASKOFU wamekaa wakajadili na kiona haifai mimi naona ni sawa. Km ipo sawa hii KATIBA Kwanini walioshoka dola washawishi kupiga kura ya NDIYO? Hata aliyepo Madarakani aelewe kabisa nae...
Wakwepa kodi utawajua tu. Lipa kodi upate huduma bora. Kama hakuna stendi hapo unadaiwa kodi ni nyumbani kwako?? Kama hutaki kulipia ushuru kapaki nyumbani kwako abiria wakufuate huko nyumbani kwako.
Makampuni ya simu za mkononi yanatabia ya kutuma matangazo yao kwenye simu za wateja. Sio watu wote wenye simu wanapenda miito ya simu au hudumafulani wanazotangaza kupitia sms na kuingia kwenye simu za wateja. Binafsi zinanikera sana hizi sms kwani hawanilipi chochote kwa promo zao nikujaza...
Katiba maana yake ni nn?? Kama unaenda kinyume na katiba ya chama lazima tuwe na wasiwasi hata ukipata nafasi ya juu unaweza kuvunja hata katiba ya nchi. Hapa Unaogea mkojo matokeo utazidi kunuka....
Kwa maelezo yako vinaweza kuwa ni GENITAL WARTS. Hii genital warts ni upele unaota lkn sio upele kamili ni km uvimbe unaota km ua hivi then unasambaa sehemu za haja kubwa. Ni ugonjwa wa zinaa ambao hutokana na mtu kuwa na multiple partiners. Na ugonjwa huu husababishwa na virus vinavyoitwa HUMAN...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.