Swala la mishahara ya wakufunzi limepitia katika vipindi Kama vitatu kuanzia 2007 . Kwanza kabla yake idara ya ukufunzi ilikuwa sawa na idara zingine za ualimu hivyo mishahara haikutofautiana. Kuanzia mwaka 2007 serikali ilitoa waraka ikiainisha kuwa Walimu wanaotakiwa kufundisha vyuoni ni wenye...
Ni mitazamo miwili tofauti ninayoona kwamba ni vigumu sana CCM kumteua EL pia ni rahisi kwa CCM kumsimamisha EL.
Mtihani huu na kitendawili hiki kila nikifikiria kwa undani ni mgumu sana. Mosi ni ukweli usiopingika kuwa EL anakubalika na watu wengi nje na ndani ya chama ukilinganisha na wagombea...
Ache I kuchezea Elimu unasambaza mitihani unauwezo gani Wa kuhakikisha usalama Wa mitihani? Kama NECTA bado wanachangamoto za usalama Wa mitihani sembuse mtu binafsi? Huna askari polisi Wa kusindikiza; wala Afisa usalama au nyie mnaangalia fedha tuu? Haijalishi ni testi au mtihani Wa muhula...
Katiba mpya;
rushwa na ufisafi mfano escrow;
biashara ya madawa ya kulevya na pembe za ndovu;
mpasuko mkubwa Wa kisiasa utakao tokea ndani ya ccm;
mwunganiko Wa vyama vya upinzani (UKAWA); Uhaba Wa Ajira kwa wahitimu mbalimbali; Maisha magumu kwa wafanyakazi na wakulima;
Mfumuko Wa bei...
Kwa mujibu Wa maelezo ya viongizi mbalimbali Wa wizara ya Elimu ni kwamba walimu wameshatosha isipokuwa walimu Wa sayansi so walimu mnaosubiri ajira kaeni mguu mmoja ndani na mmoja nje jipangeni kuanzisha ujasiliamali mane no hay a yameongelewa ktk maeneo tofauti tofauti na waziri Wa Elimu...
Naomba ushauri Wa namna ya kurudishia CD (DVD) iweze kuonesha (play) video coz ni CD ya arusi na sina CD nyingine ya kumbukumbu. Asanteni kwa mawazo yenu
Nauza kabichi aina ya seminist na mkulima hybreed or F1 zina uzito wa kilo moja had tano bei miasaba had elfu moja zipo nyingi zaidi ya elfu kumi na tano mawasiliano 0764256570
Serikali imesikia kilio cha wanachuo wa ngazi ya Cheti(astashahada) a.k.a Grade A kwa kuwaruhusu kufanya mitihani ya marudio kwa masomo ambayo watafeli. Kabla ya halo ilikuwa mwanachuo akifeli somo la Ualimu hatakama atafaulu masomo yaliyosalia alikuwa anapoteza sifa ya kuwa mwalimu. Vile vile...
Wanaaibisha vyuo wanavyotokea coz elimu yao haijawakomboa nawaasa vijana wasiyumbe ktk sula la ukombozi hususani kupitia chama makini chadema. Msomi usipokuwa na dira wala mwelekeo je ambao hawajasoma watafanyaje? I beg them to think big
Nasikitika sana kuona kijana kama huyu anapiga taarabu tulia uambiwe ukweli jua kuwa yote unayoongea sasa wa tz hatukuelewi ulikuwa wap? Au umeshaona upo ICU? Wewe ni msaliti; mhujumu chama na mhaini toka kitambo
Naomba niwapongeze sana kwa kazi nzuri ya kujenga na kuimarisha chama. Mambo yanayo endelea sasa kuhusu zzk ni jambo dogo sana kwanza naona kama linakisafisha chama wananchi na wapenda maendeleo tunaunga mkono fukuzafukuza ya wahuni. Watanzania tunajifunza kuwa baada ya kushinda kwa kishindo...
Hi nimeipenda sana kwa ushauri Wangu hakikisheni mnaeneza umoja huo kila kanda;mkoa;wilaya;kata na kila shule. Katika maeneo haya yote wachaguliwe viongozi wa chadema. Mungu ibariki Chadema
kama kweli unataka wadau tukusaidie lazima ujieleze vya kutosha . Mfano wewe unaelimu gani kwa sasa, umesoma masomo gani, umefaulu masomo gani?. Kwa kuelewa hayo tutaweza kukushauri mengi kwa kuzingatia ushindani wa kozi mbalimbali katika mchakato wa kudahili, uwezekano wa kupata ajira au hata...
Kwa uelewa wangu TGS ni neno linalo simama badala ya TANZANIA GOVERNMENT SALARY SCALE. So hiii ni ngazi ya mshahara wa mtumishi wa umma wa Serikali yeyote.
Lakini kwa kuwa serikali ina idara au kada tofauti mfano walimu, madaktari, wanasheria n.k TGS huongezewa herufi nyingine inayotambulisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.