hahahah koko ndio anamgeuzia kibao hata bossi wake mkuu,sikufichi hapa majirani wanaonizunguka wameshavamiwa wote lakini hapa kwangu hakuna aliyewahi kutia mguu hata mmoja.
kichwa cha habari chahusika,mbwa wenye umri wa week tano aina ya German Shephard wanauzwa,bei yake ni Tshs.200,000 kila mmoja,kwa wale mnaoishi na familia mnajua uchungu wa kuvamiwa na majambazi,kiboko yao ni hawa mbwa.Napatikana tabata Kinyerezi.serious buyers njoo PM.
chaguo ni lako mkuu,kikubwa ujue ubora wa hiyo miti unayonunua,mwanzoni nilinunua miembe huko usemapo tangu mwaka 2011 mpaka leo haijawahi kuzaa,lakini mbegu hii nimepanda 2015 ndio unaona maembe yananing'inia hapo,wakati mwingine vya rahisi sana impact yake sio nzuri,hujawahi kuona watu...
Pata miche bora kabisa ya miembe kwa dar es salaam,utafurahia maembe haya kwani yanazaa kwa kiwango cha juu kabisa,epuka kununua miche kwa wauzaji wa mtaani,bei ya mche mmoja ni 10,000 za kitanzania.Pia utapata fursa ya kutembelea bustani na kuona miche ambayo imeshazaa maembe ujionee jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.