Mkuu
Ngoja nikuanzie mbali kidogo.
Wakati ule wa uprising ya Ukraine ambayo ilianzishwa na kuchochewa na US, Putin kwa Mara ya kwanza alionekana kama anaangalia tu vile. Lakini mwishoni alipofanya surprise annexation ya Crimea (part of Ukraine), ile move iliwaacha hoi sana hao US kwani...
Putin ni chess master... Na hiki alichokifanya ni "checkmate"
Sasa ni jukumu la US na wayahudi wake wawadhibiti hao "terrorists" wao au vita iendelee sasa.
Putin alishasemaga US haiwezi kuwa "Subdue". US ameachwa sasa awa control Terrorists wake. Kwa maana sasa hali ni shwari na atakayeanzisha...
Haya ndio mambo ambayo Putin alikuwa anayasema. Europe haitakuja kukaa sawa tena.
Shots fired at police in Brussels during search linked to Paris attacks - report
Published: 15 Mar 2016 | 14:21 GMT
Shots have been fired at Brussels police during a search linked to the November 13 terror...
Haya ndiyo aliyokuwa anamaanisha Putin.
"Our mission has been accomplished"
Car explodes in central Berlin, 1 dead, police suspect a bomb
Published: 15 Mar 2016 | 10:07 GMT
A car has exploded in central Berlin on Tuesday morning, leaving at least one person dead, local media report...
Nadhani Putin aliposema objectives ya ile vita imekamilika, ni watu wachache sana ambao watakuwa wamemuelewa.
Hizi ni baadhi ya objectives:
1. Kusukuma wakimbizi wengi wa kiarabu bara la ulaya. Hii inapelekea vitu vifuatavyo (a) mzigo kwa ulaya kuwahudumia hao wakimbizi. (b) Security concern...
Generally, the objectives of our mission in Syria have been accomplished. - Putin.
Sasa hivi kuna cease fire agreement pale kwa hiyo hata hao ISIS pamoja na waasi wengine hawawezi kumshambulia tena Assad.
Russia bado ina military bases kwa ajili ya ku monitor situations. Pia kumbukeni zile...
Ishu hapa ni Supply Vs Demand. Ni kweli usiopingika kwamba huko zamani wahasibu wenye CPA walikuwa ni wachache sana sana, NBAA walikuwa wanabana sana, kuanzia utungaji wa mitihani mpaka kusahihisha. Kwa hiyo wahasibu walikuwa wachache.
Leo hii Mambo yamebadilika, CPA imekuwa sio ngumu ki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.