sina mda wa kuwasalimu
Kupitia video fupi aliojirekodi mwana music wa zamani Vanessa mdee AKA vee money,,, Ametuambia kua yeye alipata tatzo la macho akiwa mdogo lilopelekea kutokuona kwake
Nawasilisha, usimcheke mtu jamaan watu walikuwaga wanamcheka macho yake kumbe bidada...
Habar zenu wadau,,
Mim sio muandishi mzuri sana ila nimekuja hapa natafuta rafiki wa kike,,,
mimi age yangu 28yrs mbishe zangu nafanyia dar es salaam nmeajiriwa kibishi,,
rafiki age yoyote ile ila awe anaishi Dar, elimi na dini me sijari hata kama mpagani hyo ni dini yako,,, uwe mcheshi sina...
Jana kwanye show ya Wasafi tumewasha na Tigo ilibidi show ighailishwe baada ya Rayvany kucheza nyimbo yake ya Nyegezi akaanguka na kuvunjika mikono yote miwili.
Mambo vipi,
Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimehama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.
Sasa tatizo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani...
salama wakuu
Natafuta fundi mzuri wa iPhone imezima ghafra yaani iliisha charge nikiwa kwenye mizunguko yangu,, niliporudi home nikaichaj aijawaka tena
Habari zenu wakuu,
Computer yangu aina ya HP EliteBook, ghafla tu nikiwa naitumia ikaanza kuonyesha maandishi mara mbili mbili yaani kama simu vile ikiwa imekifa kioo.
Sasa nashangaa hili tatzo linatokana na nini maana kama kioo kimekufa mbona sijaigonga wala kuidondosha. Kuna mtu nimemuuliza...
Eeenh muheshimiwa Rais Magufuli waongezee chochote kitu hawa jamaa watatu au kwenye teuzi zako wapachike sehemu wamecheza sana leo hadi jasho[emoji847]
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Habari wana futiboli wenzangu
Mimi ni Simba damu ila naona umuhimu wa leo Yanga kushinda ili akachukue hili kombe akawakilishe kimataifa mnajua kwanini.
Simba tayari kashakata tiketi ya kucheza kimataifa so kama atashinda leo hiyo itakuwa imeipeleka Namungo moja kwa moja kucheza kimataifa kitu...
Habari zenu wakuu,
Polen na vita juu ya hili janga covid 19
Tusisahau hata kabla ya corona watu walikuwa wanakufa na kila kifo sio kwamba kilikuwa kinatangazwa humu,
Ila sasa imegeuka tabia mtu ukijifia zako hata kwa maralia watu mnakuja mbio humu kusema oooh hali mbaya mmeshasahau kama kifo...
N aje ni vip ?
Husika na somo tajwa hapo juu.. me ni kijana chini ya miaka 30 nimepanga chumba kimoja huku Tembon kipato changu cha kawaida sana under10k per day.
sasa bhana nisiwachoshe wala msinichoshe nataka nianze kuishi kijanja yaan ile kidaslaaam. nataka nianze na pombe niwe naweka gheto...
Leo nilikuwa naangalia Clouds TV, nikaona wanapiga nyimbo ya Hamonize nikajua labda kwa sababu kjitoa wasafi nikaona tena wanapiga goma la Mondi bin Laden lile 'Kanyaga' nikasema dooooh jamaa wamesanda.
Habari wakuu,
Nauza Samsung Galaxy s2 au niko tayar kubadilishana na Tecno K7 au Spark3,, sababu ya kuuza au kutaka kubadilishana mm nafanya kazi ya Uber so hii simu imekataa uber driver App.
Bei nauza ni 150,000/ pungufu unaongea niko Dar Kimala
Habari zenu wakuu
Samsung j5 inasumbua sana upande wa Network had ukae mjini kabisa ndi inasaport network japo bado inakuwa iko low sana tatizo limekuwa kubwa zaid hata data aiwaki Nino shida hapo wataalamu
Habari zenu wazee baba
Holaaa holaaa mambo ni moto. Hatimaye harusi ya dada imekaribia na kama kaka wa makamo nimeambiwa lazima nivae suti.
Sasa basi ni lazima nitinge suti kali kimodo fulani hivi cha kisasa ukumbi mzima washangaee na niweze kung'oa mademu kupitiia hiyo suti nitakayovaa...
Habari zenu wakuu,,nataka kusafiri kesho natoka mwanza kwenda Dar ni basi gan zuri luxury na alilali njian
msaada wenu muhimu kabla sijaenda kupigwa changa la macho na wale ma agent stend
Habari, bila shaka kwa watumiaji wa barabara ya mwanza wamekutana na changamoto kadhaa kipande cha kutoka Igunga had Ziba,, polen kwa usumbufu kwa wale baadhi waliokuta tukiwa kwenye shughuri zetu na kuwasimamisha kwa takriban nusu saa, tupo kwenye shughuli za kujenga taifa letu,, ahsanteni
Habari zenu wakuu!
Mimi ni dereva wa fuso ya kubeba mchanga, huwa tunafata mchanga Kibaha na kupeleka Dar es Salaam. Kipindi cha nyuma tulikuwa tunafanya kazi usiku na mchana na huwa tunanunua mchanga sh 10000/= ushuru wa halmashauri Kibaha 3000/= na Kinondon 1000/=
Halmashauri ya Kibaha...
Habari zenu, poleni na majukumu ya kila siku
Mimi ni dereva wa gari la mizigo huwa tunafata mchanga kibaha tunaleta Mbezi Dar kuja kuuza kule Kibaha huwa tunalipa 10,000/=chimbo 10,000/= upakiaji 3,000/= halmashauli kibaha,2000/= kijiji (inategemea na kijiji) 1000/= halmashauri ya Kinondoni...
Nauza kiwanja kipo Ghoba mpakan (Tegeta "A") ukubwa n 20 urefu, upana16 kipo eneo zuri uduma za kijamii kama maji umeme vimefka. bei n Tsh 3,000,000/= million tatu
contact 0712846799
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.