Iwe gari kati ya Rav 4 new model old au Haria new model au tupia gari lolote ambalo unataka kusukuma upate hela ya fasta
Liwe namba D njoo PM
NB: Madalali please msiniwekee maneno yenu ya zeengwe maana ninyi ndo mwajua sana kupandisha Bei za magari Mara mbili,
hapa nimewaandikia wenye magari...
Wakuu leo nimepata habari ya mwalimu aliyesimamishwa kazi kajinyonga na kumwachia ujumbe Rais magufuli kuwa hakuwa na jinsi? Mwenye news zaidi tafadhali atujuze
Wazungu wanaishi kitajiri maisha yasiyo na stress , wengi wao hawawazi njaa na shida ndogo ndogo, wazungu wanadharau hii rangi nyeusi vibaya sana.
Weusi , njaa na sisi, shida na sisi ila wengi wa wafrika tunamjua mungu
Vitabu vya mungu vinaonya kuhusu matajiri kuingia mbinguni
So
Mzungu kafaidi...
Wakuu ninafahamu humu kuna watu wenye uelewa wa hali ya juu sana kuhusu afya. Tunaomba muongozo wenu wa namna wa kupata Giniasi wa kike.
Tutashukuru sana kwa muongozo wenu
Majanga ni chanzo kipya kabisa cha mapato Tanzania kwa sasa
Rejea ajali Arusha na zilikopelekwa fedha za Rambirambi
Vyanzo vingine vilivyobuniwa kwa ustadi
2. Tochi za barabarani
3.
4.
5.
Wakuu kuna hawa waliorudiaga darasa la saba baada ya wao kufeli kwa nafasi yao, na baada ya kurudia wakapewa nafasi za waliacha shule , Hawa nao ni vyeti feeki?? Au elimu ya msingi haiesabiwi?
Hii kitu imekaaje ndugu zangu?
Nimewahi ona matajiri kadhaa, weupe sana kwenye mazungumzo.
Mtu mweupeee mdomoni ukimsikiliza,
Ila ana majumbaa, maviwanja
Magari tena malori na magari kutembelea, tena v8 n.k
Na haonyeshi kama ni mshirikina.
Anaonekana mtulivu na muda wote anawaza mambo yake...
Nini maana yake hii? Najiuliza
Kalogwa?
Ni mchafuko wa damu?
Na kinaponaje hiki kidonda?
Nini chanzo chake, maana jamaa anatoa harufu mbaaaya mwaka wa sita sasa.
Kwa wale wanaosumbuka sana kutafuta wachumba unaweza kuta mlisha olewa kitambu.
Ni muda wa kumuomba Mungu afute ndoa za awali,
Kutubu,na kuvunja yote ya kale ili uanze upya, upewe ndoa mpya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.