ZINGATIA: CCM kupitia Mtandao wa Twitter wamekanusha taarifa hii (wakimjibu Ndg. Haki Ngowi). Mjadala umefungwa
========
Taarifa ilikuwa hivi:
Kutoka hapa Lumumba ni kwamba Steven Wassira anachukua nafasi ya Ole Sendeka.
Peter Maduki anakuwa mweka hazina kuchukua nafasi ya Zakhia Meghji, na...
Sakata la Dangote limekwisha katika staili ninayoweza kuifananisha na fasihi moja isemayo "Zama Zimebadilika."
Na sasa kilichobaki ni aibu kwetu-tena aibu ya pande tatu.
Ukilitazama sakata hili utakubaliana nami kuwa Watanzania kwa sasa ama tubadilike na wakati au tusubiri wakati uendelee...
Mabadiliko makubwa yanakuja CCM ambapo Dr. Bashiru Ally anatarajiwa kumrithi Kinana. Pamoja na Dr. Bashiru mwingine anayetajwa ni Mwigulu Nchemba.
Hatua hii inakuja baada ya Kinana kuandika barua ya kupumnzika. Na baadhi ya vigogo wa chama hicho kuteuliwa kuwa mabalozi.
Vile vile wanaotajwa...
Hii dunia bana. Hapi tumesota naye pale Kijiwe cha Mandi, Lumumba hakiwa hana ajira. Alikuwa anatupiga mzinga sisi, leo kapata ajira sasa anatala vijana wajiajiri. Mbona hakujiajiri yeye tangu alivyotoka chuo?
Haya magazeti yanayoeneza chuki ni ya kufungiwa kabisa. Huo ni uongo wa hali ya juu. Jana nilikuwa na moja wa wasaidizi wa Mama na walisafiri. Leo asubui Kikwete katembelea UNICEF.
Duu. Kweli Magufuli yuko sahihi kwa kusign muswada wa habari
Wale waliozoea kuishi kwa kupiga madili, kunyonya rasilimali za Watanzania na waliozoea anasa ndio watamuona Magufuli hafai. Lakini asilimia kubwa ya Watanzania maskini hauwaelezi kitu mbele ya JPM na 2020 anapitishwa tena kugombea urais na atashinda kwa kishindo. Poleni Mafisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.