Process,
-Uwe na kitalu cha madini ya kokoto
-Uwe na leseni ya uchimbaji madini, kwa wewe unatakiwa uwe na PML, Primary Mining License
-Uwe na leseni ya ukaguzi wa mazingira, NEMC
-Osha
-Leseni ya biashara
Asante
[QUOTNinanyix, post: 22693072, member: 199534"]Hivi hali ilivyo ngumu hv unaweza kaa ukawaza mahaba full time.. Bila pepo la pesa kukupitia ukagundua account yako ukichomeka kadi kwenye ATM hata haishtuki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jina lako linafanana kidogo na langu, lako Lina...
Sasa ukinijua inakusaidia nini. Mimi ni kweli najulikana, Ila sijatetea Ila nimekuambia kuhusu Zambia umeandika uongo ndio nimekuambia. Mimi ni engineer na huo mgodi kuna kipindi nilitaka enda kufanya kazi mipango haikutimia. Kuhusu nchi zingine sijui ndio maana sijaelezea. Acha mawazo mgando
We jamaa muongo Sana. Barrick imeingia Zambia juzi Tu, tena Kwa kununua project na mgodi huo inaitwa Lumwana, na umefunguliwa 2011. Acha majungu ambayo mengine sio ukweli.
Sio kwamba hatuwezi, tunaweza, sema hapo mwanzo hatukulifikiria hili, tukaingia moja kwa moja. Ilitakiwa hili lifanyike kabla ya mgodi kuanzishwa, sema inaonekana ni wachache waliokuwa wanalifahamu hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.