Ninachukua fursa hii kumshukuru sana Mungu kwa kutuwezesha leo tarehe 19/8 tumetimiza miaka 15 ya ndoa yetu. Tumebarikiwa kupata watoto 5. Tumepitia misukosuko na dhoruba nyingi sana lakin ni jambo la kumshukuru Mungu mpaka leo bado tupo pamoja. Katika miaka hii kumi na tano nimejifunza kuwa...
Sio kweli mnawaonea majirani zangu,hizi ni simulizi zilizokuwepo tangu zamani lakini hazina ukweli wowote,wanoongoza kwa kuwauwa wanaume wanajulikana.zile nyumba za kariakoo zinamilikiwa na wanawake ambao ni kabila gani?
Na utataabika mpaka basi,nyie ndio wale msiojua thamani ya uliyenaye mpaka atakapokuwa mbali nawe au atakapokwenda kwa mwingine.
Ulichezea shilingi chooni sasa cjui kama utaipata tena.
Mimi h/girl namchukulia kama mtoto wangu na mara nyingi wengi ni wadogo na akili zao hazijakomaa,hiyo habari sihiruhusu kwani wanangu wa kuwazaa sitawaruhusu.Ninachofanya ni kuwataadharisha na mapenzi kabla ya wakati na nimewaambia wawe huru kuniambia iwapo watalazimishwa na mwanaume.Na vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.