@ Gurtu. Mie natumai mchakato wa upatikanaji wa Katiba mpya Tanzania si kwa ajili ya kumpata Dr. Slaa. Kama hivyo ndivyo unavyofikiri basi jielimishe zaidi. Katiba mpya ni kwa maslahi ya watanzaania wote na si Chama cha Siasa. Usalama unaousema hapo ni upi????? Tunajua Dr. Slaa alikuwa...
Jile79. Huwezi mfananisha JK na Slaa. Mmemfanya Mzee wa Watu awajengee Chama kwa ahadi ya pipi na kuwafukuza kazi wadogo. Zitto aliyewazidi nguvu Bungeni mmemshindwa hata kumpa onyo. Kweli hicho c Chama cha Demokrasia ila CHAUMA - Chama Cha UBABE na Maendeleo.
TUME DHARAULIWA KIASI CHA KUTOSHA! TUMENYANYASWA KIASI CHA KUTOSHA! TUMEONEWA KIASI CHA KUTOSHA! ila sasa basi. Nakumbuka ENZI za Biashara ya UTUMWA na hawa hawa WAARABu na leo KATUSHIKA PABAYA.
:A S crown-1: Umekuwa Mfalme?? Hayo ni mawazo ya mtu vyema kuvumiliana. Kwa chama kikubwa kama CDM jambo la kutoka nje sio sahihi. Imekuwa tabia yao. Tumewatuma kusimamia Serikali na Kutunga sheria na si kuonyeshana mbwembwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.