Uongozi sio Mashindano ya ulimbwende, tuheshimu hizo nafasi za uteuzi.
Jane yupo vizuri sana, anaishi maisha halisi na anatendea vema nafasi yake ya uongozi.
Nampongeza sana. Ni bahati mbaya tuu ametenguliwa lakini kitu cha kuzingatia ni kuwa yupo natural sana.
Zaidi sio kila mtu ni...
Katika ule mkataba wa ununuzi wa vifaa vya jeshi la zimamoto ambao ulisitishwa/unachunguzwa, Mojawapo ya vifaa vilivyoorodheshwa ni Drones maalum za uzimaji moto.
Nadhani hapa ndipo palipohitajika hizo drones kufanya tathmini ya uharibifu na kufanya zoezi la uzimaji kuwa rahisi zaidi. Pia...
Nahitaji gari kwa ajili yangu kati ya Runx/Premio au Allex namba C au D.
Bajeti yangu ni 7mil.
Rangi yoyote isipokua nyeupe.
naweza kuilipia hata Sasa baada ya kuikagua na kukubaliana.
Nipgie au watsp No 0738439308.
Nipo Dar es Salaam.
Panda tuu muhimu mpe maelekezo kuwa huna haraka na safari na afuate sheria.
Mie nakwazika boda akiovertake gari mbili zilizo kwny mwendo kwa pamoja haswa ikiwa moja ya gari hizo ni Lori au basi kubwa afu yeye anapita katikati.
Ni makosa lakini jazba imeanzia hapo kwny kuburuza boda kutoka Zebra moja mpaka kukaribia zebra ya pili ya kituo.
Yawezekana Mwendokasi aliona ana haki zaidi hivyo kutosimamisha gari kwa haraka au gari lilipata tatzo la kiufundi ghafla.
Manzese pamestaarabika,kwa tukio lile uharibifu wa gari...
Sio kwamba Alikua anavuka kwenye zebra ya upande mmoja wa kituo(Tiptop_Manzese),mwendokasi ikawagonga kwenye hiyo zebra?
Ilisimama baada ya kumaliza zaidi ya nusu ya urefu wa kituo cha mwendokasi kutoka hiyo zebra/eneo la ajali.
Kosa la boda ni Kupandisha mshikaki na kuvuka zebra akiwa...
Ahsante kwa kunipa Moyo.
Ikifka january katikati ndio ntabadili matumizi ya hiyo pesa lakini kwa sasa 8.5mil ipo Kabatini.sina haraka nalo kiongozi.
mpaka sasa kuna mmoja kagota 9.5mil namba DL...
Ahsante kwa ushauri.
8.5mil ipo na uzuri sina haraka na gari.naweza kununua aina nyingine ikinibidi.kwa sasa nahitaji iyo Athlete.
kama unayo,karibu whatsp
Nahitaji Crown Athlete namba D ya kuanzia mwaka 2005.
Pesa ya kununua/kulipia ninayo.
Bajeti yangu ni Tzs milioni 7.8.muda wowote wasiliana nami
Whatsap 0738439308...
Au nitumie ujumbe a.k.a niPm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.